Elsa Marie
JF-Expert Member
- Jul 7, 2017
- 2,385
- 5,817
Mnaongea tu. devil anaweza akawa mwanaume piaUwezi jua kimemkuta nini..... But for sure some of them are real devils.
Mnaongea tu. devil anaweza akawa mwanaume piaUwezi jua kimemkuta nini..... But for sure some of them are real devils.
Muwe tayari pia kwa matokeo yake,mkiachwa pia mjue kukubaliana na uhalisia,sio mkiachwa mnakuwa walalamishi kuwa wanaume wa siku hizi ni waongo sana!!!Humpati ng'o! Labda ujioe mwenyewe.
Kwa dunia ya leo utqmpata nani ambaye atakupa kipapa wewe peke yako? Siku hizi tunashika huku tangu tunachumbiwa, mpaka tu
Kwa hakika God is watching her!M popote ulipo God is watching you...black mamba wewe loh
Chai ni nini mkuuChai hiyo
Andika wewe huwezi kukitumia kipapa chako kwa mmoja ukatulia usijumlishe kwa wengine kwa hiyo hata tigo unatoa pole.Humpati ng'o! Labda ujioe mwenyewe.
Kwa dunia ya leo utqmpata nani ambaye atakupa kipapa wewe peke yako? Siku hizi tunashika huku tangu tunachumbiwa, mpaka tu
NakaziaPumbaa sana wewe
Mungu akurehemu bure!!!Kutwa unashabikia chadema unategemea nini?
Ni kugongewa tu kwa kwenda mbele
Very dark....stupid girl,. nonsense!!!Kwa hakika God is watching her!
And I predict,the future is too dark to her!!!
Kumsikiliza Ni natural justice mkuu..wenda kuna mtu mwingine alikuwa anatumia simu yakeHawa wanawake hawa mimi pia yamenikuta amekosea tuma meseji akidhani anamtumia mchepuko wake kumbe kanitumia mimi,
Kilichofuata mpaka hivi sasa Ni story tu nilipiga chini dk ile ile Wala sijasubiri zimepigwa simu leo siku ya tatu naziangalia tu wanawake wapo kibao Sina muda wa kupoteza Na wasaliti
Tabora hawajambo?Pole mkuu!...
Tena pole sana!
Wapi mkuu usiruhusu ili kabisa alivyotuma ile meseji nikakaa kimya kama dk Moja hivi ikaja meseji ya utetezi wa kipumbavu kweli kweli, nikaandika yangu Moja tu kumuaga endelee salama Na maisha yake Basi maana siwezi poteza muda Na mwanamke mpumbavu kabisa Nina mambo mengi sana ya kufanya najua huko aliko anafurahia penzi jipyaKumsikiliza Ni natural justice mkuu..wenda kuna mtu mwingine alikuwa anatumia simu yake
Angeizima asingegundua hilo aliloligundua.Kosa ulilolifanya ni kuchukua simu yake na kuiweka mezani karibu yako.
Kosa zaidi ni pale ulipoiacha simu on. Ulitakiwa baada ya kuichukua uizime na maongezi yaendelee.