born again pagan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 2,333
- 1,497
Hapo fresh sana mwana.....kama mbwai na iwe mbwai tu.Tulikua tunaishi maisha ya love Mimi wife na jirani yangu nae na mkewe, Mimi nilikua na mchepuko wangu sehemu siku moja ya jumapili ukaja tukaenda kufany yetu tumetoka chumbani mchepuko ukaniomba niupeleke beach ukareflesh kidogo tukaenda
Wakati tunarudi nikawa nimeushikia mkoba wenyewe ukawa umeshika viatu co ulivua wakati unatembea beach kwa bahati mbaya sana mke wa jirani yangu alituona ila Mimi cjamwona kufika nyumbani ukamwambia wife kila kitu


