Nimevunja ndoa ya mtu moyo wangu safi

Nimevunja ndoa ya mtu moyo wangu safi

Kama sio mzinifu hapo sawa ila inamuumanini kama anazini dawa ya mwongo fupi basi mimi hainihusugi maisha ya mtu kwa sababu huyo mtu unayemuangamiza today tomorrow he or she will help you .

Usingemuharibia ungefanya hivi ungemuita nakumkanya .
Ila kwasababu alijiona mwamba basi nawewe ukamwamkia .

Ila watasemeana tu kinaisha .
Unaandikaga nini mama au mwenzetu ni mkongo.
 
Kama sio mzinifu hapo sawa ila inamuumanini kama anazini dawa ya mwongo fupi basi mimi hainihusugi maisha ya mtu kwa sababu huyo mtu unayemuangamiza today tomorrow he or she will help you .

Usingemuharibia ungefanya hivi ungemuita nakumkanya .
Ila kwasababu alijiona mwamba basi nawewe ukamwamkia .

Ila watasemeana tu kinaisha .
Mbona yeye hajaniita akanikanya

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
kuwaka Moto mwanaume anataka mwanamke amwambie ninapomuonaga ni wapi, mwanamke nae hasemi jamaa kamfukuza anatak kujua tunaonanaga wapi?

Mimi nipo kwangu maisha yanasonga wao watajua wenyewe
Da! hatari sana
 
...sijafurahia ulichofanya mkuu. Kumbuka we ndio mzinzi alafu unaenda kuharibu ndoa ya watu. Uongo hautakuweka huru.
Kwani alichofanyiwa ni kitakatifu?

Unapomuona mume au mke wa jirani yako anadanga uache tabia ya kujifanya spika ya Msikiti.

Deal na mdangaji kama ataonekana ni sikio la kenge basi ndo uchukue hatua ya juu zaidi.

Jamaa kafanya kiroho safi.
 
Hakuna namna mtu atakuja kuniambia "Kule ninapokutana na mkeo . . . " Halafu atarajie aondoke bila kuniambia ni wapi eti nikagombane na mke wangu yeye ndiye aanze kuniambia hua mnakutana wapi.

Oksijeni inaisha, tabia nchi inabadilika, joto linapanda kila siku duniani oksijeni ndogo tuliyonayo tunashare hadi na watu wasiotaka kutumia akili zao vizuri.
 
Tulikua tunaishi maisha ya love Mimi wife na jirani yangu nae na mkewe, Mimi nilikua na mchepuko wangu sehemu siku moja ya jumapili ukaja tukaenda kufany yetu tumetoka chumbani mchepuko ukaniomba niupeleke beach ukareflesh kidogo tukaenda
Sherani amekumanda kabisa atakuandalia kitu cha ufalme wake ukae hata masaa 2
 
Tulikua tunaishi maisha ya love Mimi wife na jirani yangu nae na mkewe, Mimi nilikua na mchepuko wangu sehemu siku moja ya jumapili ukaja tukaenda kufany yetu tumetoka chumbani mchepuko ukaniomba niupeleke beach ukareflesh kidogo tukaenda

Wakati tunarudi nikawa nimeushikia mkoba wenyewe ukawa umeshika viatu co ulivua wakati unatembea beach kwa bahati mbaya sana mke wa jirani
Watajijua wenyewe
 
Tulikua tunaishi maisha ya love Mimi wife na jirani yangu nae na mkewe, Mimi nilikua na mchepuko wangu sehemu siku moja ya jumapili ukaja tukaenda kufany yetu tumetoka chumbani mchepuko ukaniomba niupeleke beach ukareflesh kidogo tukaenda
Yatakukuta very soon
 
Back
Top Bottom