Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,001
- 72,284
Sijui kwanini ila mie nikienda kuishi sehemu yenye kunguni huwa haichukui siku 3 watahama wote au kufa kabisa.
Huwa unawafanyaje?
Sijui kwanini ila mie nikienda kuishi sehemu yenye kunguni huwa haichukui siku 3 watahama wote au kufa kabisa.
Wale washenzi usiombee nakwambia n hatarNimezoea kusikia watu wamevamiwa na majambazi. Kumbe kunguni nao wanavamia watu? Hata wasafi😁😁😁😁
Siafu,sisimizi,viroboto,mchwa,kunguni na mengineyo.Hiyo Diazon nimejaribu haifanyi kazi
Post #69.Na Siafu je dawa yake nini.
Tengeneza dawa hii kisha spray watakufa...Nimevamiwa na jeshi la kunguni, naomba msaada nimejaribu dawa mbalimbali za kunguni bila mafanikio. Tafadhali naomba msaada ili niweze kupambana na jeshi hilo!
Siwafanyi chochote, ila watapotea wenyewe.Huwa unawafanyaje?
MmhSiwafanyi chochote, ila watapotea wenyewe.
Hahaaa bora umewaelezea.. Kunguni hawaletwi na uchafu, unaenda kumsalimia mwana getoni kwake unaondoka nae hapo utasema umeambukizwa uchafu au uchafu hapo unakujaje? mmoja tu anatosha kukuletea balaa kwako..Ni Kweli mkuu, lakini tunawapata sehemu mbali mbali, kwenye madaladala, ukipumzika tu kwenye bench kariakoo unae, kwenye boat wapo kwenye mabasi ya mkoa wapo, hawa jamaa wapo very bright ataingia kwenye nguo bila kukuuma akitafuta sehemu salama ili akipata kiburudisho awe anapumzika katika security salama au angle safe kwake,infact ni kamdudu kenye akili lakini kepesi kukiua,
NI kamdudu ambako kanakuuma huku kakichukua taadhari ya kukimbia kwa haraka mambo yatakapoharibika kikomandoo.
Acha uongoKama ukiwa mtu wa usafi home hata kama ulimchukua kwenye daladala hatoweza kuishi.
Utakua umechanganya sio Kunguni hao mkuu wanaokufa...Sijui kwanini ila mie nikienda kuishi sehemu yenye kunguni huwa haichukui siku 3 watahama wote au kufa kabisa.
Miaka mingi imepita mkuu, ila hii situation nimekutana nayo mara 3. Mara mbili sijui walienda wapi ila mara 1 walipotea na walikufa kiasi waliobaki, na mwishowe wakaisha kabisa.Utakua umechanganya sio Kunguni hao mkuu wanaokufa...
OK inawezekana walivamia maeneo yasio rafiki kwao...Miaka mingi imepita mkuu, ila hii situation nimekutana nayo mara 3. Mara mbili sijui walienda wapi ila mara 1 walipotea na walikufa kiasi waliobaki, na mwishowe wakaisha kabisa.
Kama hujajua chimbo lao hao wadudu na katika huo usafi wa nyumba nzima hujasafisha chimbo lao basi inakuwa kazi bure, unakuta umesafisha chumba kizima na kila kitu ila usiku ukilala wazee hao kumbe wanakaa kwenye dali ukiweka chandarua wanashuka kitandani wanakusumbua asubuhi wanarudi juu.Safisha nyumba nzima ,deki na maji ya moto ,vitanda ,magodoro toa nje anika juani.
Yani huyo unaweza ukamdaka kwa mkono ila ukimuangalia ghafla keshakupotea ni wepesi sana na wana mbio.Hahaaa bora umewaelezea.. Kunguni hawaletwi na uchafu, unaenda kumsalimia mwana getoni kwake unaondoka nae hapo utasema umeambukizwa uchafu au uchafu hapo unakujaje? mmoja tu anatosha kukuletea balaa kwako..
Watafiti pia niliskia wanasema hawa wadudu wanavutiwa sana na black colors, ila hawapendi rangi ya kijani na mwanga, pia kwakua ni wepesi kuuliwa ndo maana ni more sensitive wana mbio sana...