Acha masikhara bhana,Diazion kiboko . Vinginevyo haoni kunguni mtu.kuna mguu wa mtu hapo😁😁😁😁Hiyo Diazon nimejaribu haifanyi kazi
Siafu haiana haja chukua unga hata wa dona unaumimina tu kuanzia wanapoingilia kuelekea wanakotokea watasepaNa Siafu je dawa yake nini.
Labda kama ulizidisha maji au ulpata feki yake make wabaya watu majini yanatumwa tu ila ile kibokoHiyo Diazon nimejaribu haifanyi kazi
Hiyo ni dalili ya umaskini hata kama haujafika ila ni dalili kuwa unaenda huko.Nimevamiwa na Jeshi la kunguni naomba msaada nimejaribu dawa mbalimbali za kunguni bila mafanikio tafadhali naomba msaada ili niweze kupambana na jeshi hilo!!.
Kweli hata mie nashangaa Diazion kiboko.Labda kama ulizidisha maji au ulpata feki yake make wabaya watu majini yanatumwa tu ila ile kiboko
Wale jamaa , ni nomerHall 1 UDSM BLOCK G mwisho wa maelezo.
Kuna siku wakati nakaribia kuodoka nikasema ngoja nipumzike kidogo. ile kushituka nina kunguni kama 200 wengine watoto. nikajisemea leo nitapanda daladala ya nani!
mokiti vipi?Hawa wadudu , nimewajulia hosteli .
Mara ya kwanza nilizani ni mbu wananiumaga usiku, ila baada ya siku kuinua godoro - nikakutana na rundo la wadudu wenye damu
Nilimwagia mafuta ya taa , makila aina ya dawa niloagiziwa - lakini wapi
Ikabidi nikimbie ile hosteli
Kazi unayo , watakunyoosha mpaka uombe po ,damn ,I hate those creatures more than anything , Mungu sijui kwanini aliumba hao wanaharamu , walinitesa sana shule ya sekondari bweni washenzi haoNimevamiwa na Jeshi la kunguni naomba msaada nimejaribu dawa mbalimbali za kunguni bila mafanikio tafadhali naomba msaada ili niweze kupambana na jeshi hilo!!.
Safisha nyumba nzima ,deki na maji ya moto ,vitanda ,magodoro toa nje anika juani.Ni kweli!! sasa wameshanivamia naomba msaada wa kuwafukuza!!
Siyo lazima kuwa mchafu, mara nyingine mgeni huwa anakuja na zawadi hiyo na jinsi wadudu hawa wanavyozaliana baada ya kipindi kifupi unashangaa wamejazana kwenye magodoroAcha uchafu mkuu
UDSM huwa wanafunga chuo mwezi wa 7 katikati na wanafungua oktoba mwishoni kabisa tena first year, mkifika mnawakuta kunguni wamewamiss.Nakupa solution ya kumaliza kabisa tatizo funga geto hilo kwa miezi 3 hadi 5. Ondoka sahau kabisa kama una geto ukirudi hapo broh hautakuta kunguni hata mmoja. Utafanya usafi utaanza upya.
Hii solution ili nisaidia sana. Siasahau nilimkaribisha jamaa yangu geto akaniletea hawa wadudu hii ilikua ndio njia yangu ya mwisho kabisa. Nilifanikiwa kwa 100%