Nimevamiwa na kunguni

Nimevamiwa na kunguni

Pia kuna ile ya kumix sabun ya unga na mafuta ya taa na chumvi laini japo mi bnafsi sijawahi itumia hiyo nilitumia diazon hiyo tatzo likaisha nasi
Hiyo diazon inapatika kwenye maduka gani?
 
Kuna basi flani (***) la Mbeya - Mwanza, ikifika mida ya usiku mnasafiri linaibuka jeshi la viroboto+kunguni, basi utasikia tu abiria wanajipiga makofi ya miguuni, migongoni..
mabasi ya Kanda ya ziwa Yana hao wadudu kibao
 
Back
Top Bottom