Nimevamiwa na kunguni

Nimevamiwa na kunguni

Pole mkuu tafuta dawa inaitwa diazon ipo kwenye kachupa kadogo hivi unachanganya na maji lta 1½ inauzwa 2000 au 2500 hivi ile n dawa kweli
Diazone ni kiboko ila achanganye na mafuta ya taa.
 
Ukiingia gest za elfu4 elfu5 elfu7 elfu8 na baadhi elfu10 ujue viumbe hawa lazima uondoke nao! Ama umetoa lift kwa vidada njiani haswa nje ya mji kuanzia mlandizi_ vigwaza na kuendelea au wamasai na wamang'ati ujue kabisa hao viumbe ni ndugu zao dam dam na wao wamewazoea wala hawana taabu kabisa
 
Tumia dawa inaitwa Diazinone,hii dawa ni sumu kwahiyo itumie kwa tahadhati sana...
 
Nimevamiwa na jeshi la kunguni, naomba msaada nimejaribu dawa mbalimbali za kunguni bila mafanikio. Tafadhali naomba msaada ili niweze kupambana na jeshi hilo!
Punguza uchafu. Wa kimwili kufua nguo usafi chumbani nk nk
Kanunuwe dawa ya kuuwa wadudu ya RUNGU, kubwa, pulizia hilo godoro lote kila sehemu. Mchezo kwishnei
 
Kuna pahala niliwahi kuishi akaja nao mwanafunzi likizo, ilichukua muda kugundua, kama miezi 4 hivi, kijana aliyekuwa humo akalamika usiku halali kuna wadudu wanamng'ata, sikuwahi kuwajua kunguni ila siku ile kuwaona tu nilijua nimekutana nao uso kwa uso, nikamuita mwenye nyumba uzuri nyumba ilikuwa kali hivyo walikuwa katika room moja tu napo kulikuwa na matairi hivyo kwenye matairi ndo lilikuwa chimbo lao,,, ebanaeeeee tulichemsha mapipa na masufuria ya maji mwagia kila kitu kwa maji moto,, kwwnye tiles pote,, ......waliisha kabisa
 
Kuna pahala niliwahi kuishi akaja nao mwanafunzi likizo, ilichukua muda kugundua, kama miezi 4 hivi, kijana aliyekuwa humo akalamika usiku halali kuna wadudu wanamng'ata, sikuwahi kuwajua kunguni ila siku ile kuwaona tu nilijua nimekutana nao uso kwa uso, nikamuita mwenye nyumba uzuri nyumba ilikuwa kali hivyo walikuwa katika room moja tu napo kulikuwa na matairi hivyo kwenye matairi ndo lilikuwa chimbo lao,,, ebanaeeeee tulichemsha mapipa na masufuria ya maji mwagia kila kitu kwa maji moto,, kwwnye tiles pote,, ......waliisha kabisa
Kumbe maji moto ni dawa mzuri
 
Back
Top Bottom