Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,053
- 15,515
Nimezoea kusikia watu wamevamiwa na majambazi. Kumbe kunguni nao wanavamia watu? Hata wasafi![]()
Usidhani kunguni ni uchafu, kunguni ukileta mbegu ndani hata uwe msafi vipi umekwisha
Nimezoea kusikia watu wamevamiwa na majambazi. Kumbe kunguni nao wanavamia watu? Hata wasafi![]()
Basi unataka nisemeje Mkuu.Usirahisishe mambo, ww unadhani jamaa anavyosema amepambana alikuwa anafanya nn
Mkuu kwasababu ushuz wako ukijamba una sumu ya hatariiii Zaid hata ya fumigationSijui kwanini ila mie nikienda kuishi sehemu yenye kunguni huwa haichukui siku 3 watahama wote au kufa kabisa.
Basi unataka nisemeje Mkuu.






wewe huwajui kunguni vizuri boss, unaona hadi mtu mzima anaomba msaada ww unamshauri afanye usafi? unadhani hajui kufanya usafi.Ujue wengi wanadhani njia aliyotumia yeye akafanikiwa basi na wengine wakitumia watafanikiwa, mwengine anaweza akaona dawa aliyotumia ni nzuri ndio maana kafanikiwa kawaangamiza wote ila mwengine unakuta alitumia maji ya moto tu na akafanikiwa kuwaangamiza.Usirahisishe mambo, ww unadhani jamaa anavyosema amepambana alikuwa anafanya nn
Kungukuni wapo hadi nchi za wenzetu huko ambapo wana mazingira masafi, hao wadudu mtu akikuletea haijalishi nyumba yao ni safi kiasi gani.Usidhani kunguni ni uchafu, kunguni ukileta mbegu ndani hata uwe msafi vipi umekwisha
Umeshatumia dawa zipi za kuwadhibiti,hebu zitaje kwanzaNimevamiwa na jeshi la kunguni, naomba msaada nimejaribu dawa mbalimbali za kunguni bila mafanikio. Tafadhali naomba msaada ili niweze kupambana na jeshi hilo!
Kwani kisa cha Billionare Elon Musk kuanza kulala kwenye makochi ofisini kwake ni nini? Nyie acheni tu..Kungukuni wapo hadi nchi za wenzetu huko ambapo wana mazingira masafi, hao wadudu mtu akikuletea haijalishi nyumba yao ni safi kiasi gani.



Nimevamiwa na jeshi la kunguni, naomba msaada nimejaribu dawa mbalimbali za kunguni bila mafanikio. Tafadhali naomba msaada ili niweze kupambana na jeshi hilo!



Kabisa akija mmoja tu au wawili akapata kambi umekwishaUsidhani kunguni ni uchafu, kunguni ukileta mbegu ndani hata uwe msafi vipi umekwisha
Kabisa akija mmoja tu au wawili akapata kambi umekwishaUsidhani kunguni ni uchafu, kunguni ukileta mbegu ndani hata uwe msafi vipi umekwisha
Hawafi kizembe ivo mzee hao wanajificha kila kona unakuta wengne wapo juu karibu na dari , wakishuka wanataga tena yani utajuwa ujuiChemshaa maji ya Motoooo kuliko moto wenyewee mwagiaa godoroo lote kila angle..!! Kitanda kila upenyo mwagia maji.. Loweka nguo zote kwenye maji ya motooo haswaaaa.. Kazi kwishaaa
Hizo ni itikadi tuJapo wanasema ukiona kunguni ndani kwako.. inawezekana ukawa unalogwa ama kuna watu wanataka kukuchezea.
Hizo ni signs.. ama kuna kitu kibaya kitatokea kwenye maisha yako
Hiyo ni chapa yenye lita 1 ya dawa unachotakiwa kufanya ni unachukua kifuniko cha hiyo chupa ya dawa unaweka dawa unachanganya na maji (vifuniko sita vya dawa unachanganya na lita 10 za maji) kisha unapulizia sehemu zote zenye kunguni baada ya wiki unapulizia tena.Matumizi yake inafanyeje?
Nimevamiwa na jeshi la kunguni, naomba msaada nimejaribu dawa mbalimbali za kunguni bila mafanikio. Tafadhali naomba msaada ili niweze kupambana na jeshi hilo!