Nimevamiwa na kunguni

Nimevamiwa na kunguni

Kuna watu wanakurupuka wanasema kunguni wanaletwa na uchafu. Kunguni sio chawa. Chawa wana wanatengenezwa na uchafu wa mwili, kunguni lazima uwatoe sehemu ndio waje kwako.

Siku wakiingia kwako uwe msafi au mchafu, utajutaaaaa
 
Sijui kwanini ila mie nikienda kuishi sehemu yenye kunguni huwa haichukui siku 3 watahama wote au kufa kabisa.
Mkuu kwasababu ushuz wako ukijamba una sumu ya hatariiii Zaid hata ya fumigation
 
Usirahisishe mambo, ww unadhani jamaa anavyosema amepambana alikuwa anafanya nn
Ujue wengi wanadhani njia aliyotumia yeye akafanikiwa basi na wengine wakitumia watafanikiwa, mwengine anaweza akaona dawa aliyotumia ni nzuri ndio maana kafanikiwa kawaangamiza wote ila mwengine unakuta alitumia maji ya moto tu na akafanikiwa kuwaangamiza.
 
Usidhani kunguni ni uchafu, kunguni ukileta mbegu ndani hata uwe msafi vipi umekwisha
Kungukuni wapo hadi nchi za wenzetu huko ambapo wana mazingira masafi, hao wadudu mtu akikuletea haijalishi nyumba yao ni safi kiasi gani.
 
Kungukuni wapo hadi nchi za wenzetu huko ambapo wana mazingira masafi, hao wadudu mtu akikuletea haijalishi nyumba yao ni safi kiasi gani.
Kwani kisa cha Billionare Elon Musk kuanza kulala kwenye makochi ofisini kwake ni nini? Nyie acheni tu..
 
Hilo Jeshi lina kiongozi kamanda kunguni ongea nae vizuri atoe vikosi vyake kwa kumuahidi kuyaweka mazingira yako rafiki
 
Ao bana utawauwa ila watarudi tana kwa kasi ya ajabu pengine kuzid ya mwanzo,
Fanya hivi
Toa kitanda kama una vitu vya mbao kakipige vanish upya kabisa toa nguo zote kazifue hata safi loweka ktk omo zenu fua,
Mashuka yote,
Chumba kipige rangi upya haikisha una skim sehem zenye mashimo zote, kama sakafu ina ufa pia ziba,

Godoro kama utaweza nunua jipya liwe na kava ya nailon, kama utoweza pasi lipige diazon liloe hakiksha mayai yote yanatoka yake kwa dawa hayaharibiki,

Then panga vitu upya hakikisha usafi muhimu na usiwe na makorokor mengi yasio ulazima, chumba simple ni kitanda, meza basi na simple seat si lazima masofa

Ukiaa miezi miwili piga dawa tena

Hao hawaondoki kizembe wana mbinu haswa
 
Usidhani kunguni ni uchafu, kunguni ukileta mbegu ndani hata uwe msafi vipi umekwisha
Kabisa akija mmoja tu au wawili akapata kambi umekwisha
Chemshaa maji ya Motoooo kuliko moto wenyewee mwagiaa godoroo lote kila angle..!! Kitanda kila upenyo mwagia maji.. Loweka nguo zote kwenye maji ya motooo haswaaaa.. Kazi kwishaaa
Hawafi kizembe ivo mzee hao wanajificha kila kona unakuta wengne wapo juu karibu na dari , wakishuka wanataga tena yani utajuwa ujui
 
Nunua dawa inaitwa DIAZONE . Toa godoro anika juani nje. Then changanya dawa na mafuta ya taa pulizia kwenye kitanda na kwenye chagall na sakafuni. Funga madirisha hafi usiku fanya usafi. Rudia tena baada ya wiki. Utakuja kutoa mrejesho.
Nimevamiwa na jeshi la kunguni, naomba msaada nimejaribu dawa mbalimbali za kunguni bila mafanikio. Tafadhali naomba msaada ili niweze kupambana na jeshi hilo!
 
Back
Top Bottom