Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,446
jipe moyo maisha ndio yalivyo na siwakwanza wewe bali wapo wengi tu waliopitia huko hata wanaokupa ushauri wengine tulisha somesha na kuachwa haijalishi ni mwanaume au mwanamke kikubwa kwenye mapenzi ni sehemu ya vurungu kama uko GAZA mlipuko kila sehemu.
Ifike mahari muwe mnakubali matokeo