sio siri me zaman nilikuwa nikimpenda mtu nampenda kwa moyo wote sijali una kitu au huna bora upendo tu.lkn baada ya kutendwa sasa hivi me mwanaume kuwa na salio aka mshiko yan hata sikuangalii ndo maisha niliyoamua kuishi ss hivi.mapenzi nampenda my dad and mum lkn binadamu wengine ni mshiko tu.yan uwe unabadilisha magar,majumba na viwanja mbezi hapo tutapendana tena sana
Ushauri wa namna hii haukusaidii dada. Sisemi hivi kuwalinda wanaume waharibifu. Hapana, katika maisha lazima uamue kwako ni kipi cha muhimu kati ya kuishi maisha ya chuki, hasira na mashindano na maisha ya furaha, amani na upendo. Mwenzako amechagua kuishi kivita vita, anataka wafuasi wa falsafa yake. Naamini huhitaji maisha ya fujo kiasi hicho. In the end you end up resenting others and living yesterday instead of living today. Furthermore, you fail to embark the opportunities that come along with life each day. Kuachwa na mchumba wako yaweza kuwa ni opportunity na advantage kwako. Ni vile tu kama binadamu tuna hulka ya kujali na kuisikiliza mioyo yetu badala ya kusikiliza vichwa vyetu. Umeepushiwa mengi dada ambayo kwa akili za kawaida wewe huoni. Pick your life and move with life. You deserve the best!
hain aja ya kuumiza kichwa,take as one of zi chalenge na uskulupuke kufany reaction ambazo hazin faida cha msing kubali matokeo na saiv we fany yako atakuj mweny true luv and you will be enjoying again as before.
Mmmh wewe kiboko kweli umekuw sugu dah
She is 25 Halooooooooo!!!!!! Bado hana mtoto mwenzio!!!!!!! Asubiri hadi lini!!!!!? Mind you she waited for 3YRS!!!!!! 366days *3
mbona unarudi palepale?mtu ameshakufaid unayomsingizia ya uongo yataondoa kukufaid kwako?hata vtabu vitakatifu vinasema nyie mmeletwa tuwafaid!!!!believe me,true story,i have z same scenario!!nina wasichana 2,wazuri tu,25 kwa 26yrs,wanajiheshimu,wana kazi zao na wote ni magraduate,tena wa course nzuri tu!!na wote nawatreat kama wachumba,pamoja na elimu zao bado hawajagundua kitu itafika muda mmoja lazima atendwe ndio maisha,kuna sababu nyingi zinazopelekea mtu kufika huko!!!lazima ukubali matokeo uwe mpole!!uendelee na maisha!!!take this serious, is a true story!!nilimpenda msichana wa kwanza kisawasawa,lakin wapi hakunielewa pamoja na kusisitiza sana bado hakunielewa zaidi ya mwaka,bado hakutaka kuwa na mimi,tulikuwa mazingira ya chuo!!mwaka na nusu ukapita sku zote nikiendelea kumuhitaj bado,na bado hakutaka kuwa na mimi,na ukweli ni mschana mzuri sana na wasichana wenzake chuoni walikuwa wanalijua hili!!!katika kipindi hicho cha kumtaka huku yeye hakutaki nikajikuta nimeanzisha uhusiano na dada mwingine c wa hapo chuoni,wa mazingira tofauti kabisa!!katika kukaa naye niseme waz tu nilikuwa nipo nipo tu kwa huyo dada, na mazingira niliyokuwepo bado yalinifanya mara kwa mara nikutane na yule wa mwanzo niliyekuwa nampenda sana,na bado kwa asili ya kiume nilikuwa bado namsisitiza hapa na pale!!wakati maisha yanaendelea na yule dada wa mwanzo pasipo jua kwamba nipo kwenye mahusiano mengine,akiamin sipo kwa sababu mambo yangu alikuwa anayajua kupitia kwa washikaji na mbaya mahusiano yangu na yule dada mwingine rafiki zangu wengi hawakuyajua,mara dada wa watu nikashangaa anajileta mwenyewe!!kwa asili hakuna aliye mkamilifu,na ukitilia maanani alivyo mzuri,nisingeweza kumkimbia,nami nikajitwisha mzigo!!!na nisingeweza kumuacha ghafla yule wa mwanzo kwani huyu sjui alikuwa amekuja kujaje,kwa hiyo nilijiprotect kwa kusoma mazingira kwanza kwa kuwa nao wote wawili!!!!sasa ni mwaka,kwa mantiki hiyo yule wa mwanzo ni 2yrs sasa,na yeye ni 1yr sasa!!kwa bahati nzuri nipo nje kwa masters sasa,huu sasa ni muda wa kumuumiza mmoja wao,yupi?hiyo ni siri yangu,nahitaji kuoa sasa!!kwa hiyo lara 1,haya mambo yapo yana sababu nyingi tu yanayofanya yatokee,yakitokea kuwa mpole tu!!wewe c wa kwanza!!maisha yanaendelea siku zote!!!!kuwa mpole acha bifu!!
Mi ni msichana aged 25, nimeona nije hapa nimwage mauchungu yangu i believe t will help. Nimekuwa na boyfriend for almost three years nilimpenda mnooo naye alionekana kunipenda alinijali n.k yaani he was agud man tulienjoy nakupendana, siku kama nne hivi zilizopita nashangaa anakuja na kuniambia kuwa ana mchumba alikua naye b4 me na muda wa kuoana umefika, mpaka sasa hivi nashindwa kuelewa hakuonyesha dalili za kuwa na mtu hakutaja na alikuwepo whenever I needed him, im hurt beyond... sijawahi jisikia hivi moyo unauma kuliko ambavyo nimewahi kutuma, I feel confused sijui cha kufanya sijui jinsi ya kureact. Ndo nikaona labda nijimwage hapa lbd itasaidi maana zimepita siku kama tatu nne sioni relief.
Nimeumizwa hivyohivyo na demu wangu wa miaka 4 kwa tamaa tu ndogondogo...nafikiri uje tuungane ili tupooze machungu yetu ,au unaemaje mpendwa?Mi ni msichana aged 25, nimeona nije hapa nimwage mauchungu yangu i believe t will help. Nimekuwa na boyfriend for almost three years nilimpenda mnooo naye alionekana kunipenda alinijali n.k yaani he was agud man tulienjoy nakupendana, siku kama nne hivi zilizopita nashangaa anakuja na kuniambia kuwa ana mchumba alikua naye b4 me na muda wa kuoana umefika, mpaka sasa hivi nashindwa kuelewa hakuonyesha dalili za kuwa na mtu hakutaja na alikuwepo whenever I needed him, im hurt beyond... sijawahi jisikia hivi moyo unauma kuliko ambavyo nimewahi kutuma, I feel confused sijui cha kufanya sijui jinsi ya kureact. Ndo nikaona labda nijimwage hapa lbd itasaidi maana zimepita siku kama tatu nne sioni relief.
dena niko available hata sasa,tunaweza kuanza moja 1
kha!! chezea wanaume wewe!!!
ila miaka mitatu huku sense ata siku moja? alisha wahi kucheat katika kipindi hicho?
kubali yaishe...umezidiwa kete sasa sikilizia machungu.
ila wanaume jamani tuache hizi mambo za kukaa na demu miaka mingi na kuwapotezea muda alafu unakuja kuoa mwanamke mwengine.kama upo kiburudani mega baada ya mwaka muache. vibaya hivyo wakaka
Nimeumizwa hivyohivyo na demu wangu wa miaka 4 kwa tamaa tu ndogondogo...nafikiri uje tuungane ili tupooze machungu yetu ,au unaemaje mpendwa?
Maneno kuntuuuuuuuuu,Kipipi umenena,mambo kama haya yakitokea shukuru Mungu mtu kama huyo angekuoa halafu asikie ana wanawake wengi nje ya ndoa ingekuwaje.??wala usisikilize ushauri wa mabavu unaozunguka hapa,huyo hakuwa wako,vuta subira uwe mvumilivu somo umeshalipata.Usikubali ushauri wa kulipiza kisasi yatakupotezea muda na kukuongezea machungu.Pole sana chipenzi!
Wenyewe wanasema, "what doesn't kill you . . . makes you stronger!"
Acha hilo nalo lipite mwaya