Nicole
JF-Expert Member
- Sep 7, 2012
- 4,274
- 2,520
Exactly one have 2 fight 4his/her love,kukalia kulialia hamake sense!
Sasa mimi nahangaika na drama girls kumbe mpo humu mmejificha, decent girls sometimes wanaboa ndo maana wanaachwa daily, mapenzi ni haki yako ya msingi lazima upiganie kulilinda penzi lako lilipo lisipotee kirahisi..
Vita za kulinda penzi ni zaidi ya great war as sio kirahisi rahiz hata mimi niporwe mchumba nicheke cheke tu.. Labda kama tulikuwa hatupendani lakini kama tulishatoana machozi ya upendo wote.. Lazima iwe vita