Nimeumizwa

Nimeumizwa


******************KUBWA LA MAFRIEND (DIE TRYING BEFORE U GET RICH )******************


unaonaje hapo???

Hahahaaaaaaaaaaaaaa! HIYO ITAMFAA MLETA THREAD manake ndo itikadi zake KUSAMEHE na kuwa na moyo wa mshumaa kumulikia wengine huku anaungua mwenyewe!!!!!!!!!!!!!
 
lara1....
Nimependa spirit yako....to be sincere hakuna justification ya mtu kumdanganya msichana/mwanamke na kumwacha just like that-Yes, I know majority wanakuja na they will always come with stuffs like" acha tu" "samehe tu" "yatapita" and the like...lakini hiyo yote maana yake Mwanamke ndio anabeba mzigo and suffers the consequences..Huyu mwanaume anaachwa huru aendelee ku-enjoy,WHY??????

The fundamental idea hapa ni kuwa kama ambavyo mwanamke ana suffer kwa kutendwa,ndivyo na mwanaume lazima itafutwe a way na yeye kupata uchungu,kama ambavyo kisaikolojia mwanamke anahangaika na kwa baadhi ndio maisha yao yana-take direction nyingine tofauti kabisa na labda ndio yanaharibika for good,halafu inakuwaje mwanaume aachiwe aendelee kula life kwa raha zote huku nyuma anawaachia wengine maumivu??

Kama SICILIANS hakuna kuachia kitu,kadri unavyoweza na make him suffer kama alivyokufanya wewe period,kwa means gani,itategemea uwezo wako...

AMEN!!!!!!!!!!!!!! Thats what im talkin abt!!!!!!!!!!!!
 
pole xana dada amefanya vibaya xana kukupotezea muda wako but ucjal mwombe Mungu utampa mwenyewe mapenzi ya dhati
 
akija mwingine usikubali mlale naye mpaka akuoe.

kha!!! wee unawajua wanaume unawasikia!!??? usipotoa mbunye ndio usahau kabisa kuolewa...nani anataka kuuziwa mbuzi kwenye gunia ?
 
akija mwingine usikubali mlale naye mpaka akuoe.

kha!!! wee unawajua wanaume unawasikia!!??? usipotoa mbunye ndio usahau kabisa kuolewa...nani anataka kuuziwa mbuzi kwenye gunia ?
 
Pole! Wewe si wa kwanza na huo hautakua mwisho wa maisha. Infact huo ni mwanzo sasa wa maisha. That is PAST na it doesn't have to ruin your present and FUTURE!
Pokea ushauri wa wote waliokushauri kuyachukua kama yalivyotokea kama njiwa , snowhite na yafananayo. Jipanguse na songa mbele. Hata Mungu hapendi ukae chini ukilia lia kisa ka-mwanadamu kenzio! Save your tears for GOD, kama ikibidi kulia sometimes. (In Prayers or even Praises & Worship). Kisasi huwa ni cha Mungu,if you know what I'm saying. Tupa kule maushauri ya visasi; hayatakusaidia lolote zaidi ya kukupotezea muda na energy tu dadaa! Jiulize ukishamfanyia matimbwili yote hayo SO WHAT? Kwani akikoma na mafujo yako ndio atarudi kwako? Na akirudi kwako does it make him a better man then? If at all you really want "revange", kamata ushauri wa @muhinda
 
Mi ni msichana aged 25, nimeona nije hapa nimwage mauchungu yangu i believe t will help. Nimekuwa na boyfriend for almost three years nilimpenda mnooo naye alionekana kunipenda alinijali n.k yaani he was agud man tulienjoy nakupendana, siku kama nne hivi zilizopita nashangaa anakuja na kuniambia kuwa ana mchumba alikua naye b4 me na muda wa kuoana umefika, mpaka sasa hivi nashindwa kuelewa hakuonyesha dalili za kuwa na mtu hakutaja na alikuwepo whenever I needed him, im hurt beyond... sijawahi jisikia hivi moyo unauma kuliko ambavyo nimewahi kutuma, I feel confused sijui cha kufanya sijui jinsi ya kureact. Ndo nikaona labda nijimwage hapa lbd itasaidi maana zimepita siku kama tatu nne sioni relief.

Mwambie hata mimi nilikuwa na mchumba ila nilishindwa kukuambia tunatarajia kufunga ndoa mwezi ujao, utaona naye atachanganyikiwa, akikuuliza ni nani usimpe details.
 
lara1....
Nimependa spirit yako....to be sincere hakuna justification ya mtu kumdanganya msichana/mwanamke na kumwacha just like that-Yes, I know majority wanakuja na they will always come with stuffs like" acha tu" "samehe tu" "yatapita" and the like...lakini hiyo yote maana yake Mwanamke ndio anabeba mzigo and suffers the consequences..Huyu mwanaume anaachwa huru aendelee ku-enjoy,WHY??????

The fundamental idea hapa ni kuwa kama ambavyo mwanamke ana suffer kwa kutendwa,ndivyo na mwanaume lazima itafutwe a way na yeye kupata uchungu,kama ambavyo kisaikolojia mwanamke anahangaika na kwa baadhi ndio maisha yao yana-take direction nyingine tofauti kabisa na labda ndio yanaharibika for good,halafu inakuwaje mwanaume aachiwe aendelee kula life kwa raha zote huku nyuma anawaachia wengine maumivu??

Kama SICILIANS hakuna kuachia kitu,kadri unavyoweza na make him suffer kama alivyokufanya wewe period,kwa means gani,itategemea uwezo wako...

Hii nimeipenda!kila cku cc ndo wa kuumia mpaka lini?
We hav 2 find a way......
 
kha!!! wee unawajua wanaume unawasikia!!??? usipotoa mbunye ndio usahau kabisa kuolewa...nani anataka kuuziwa mbuzi kwenye gunia ?

Duh!kazi ipo,ss tutawapa wangapi?mpaka mtu uje uolewe c balaa
 
Safi Lara 1. Umenena ya ukweli kabisa. Mtu huwezi chezea maisha ya awe mwanaume au mwanamke kwa miaka yote hiyo halafu eti useme unaoa/olewa. Yaani nii kumchafua kwa maskendo yote!!! Tena andika tamko kabisa sambaza kwa watu wake muhimi akiwemo huyo mtarajiwa. Chafua chafuzi hilo.
 
tulia angalia kwanza maisha yako, wanaume hawa baba yao ni mmoja style tu zinatofautiana usijeingia kwenye maumivu mengine tena... si unajua tulivyo na maneno matamu na ahadi za kukupeleka peponi, kuwa makini sasa hayo maumivu ndio fundisho lenyewe jipange kuanza ukura mpya.
 
Duh!kazi ipo,ss tutawapa wangapi?mpaka mtu uje uolewe c balaa

hahaha sijasema kuwa uwape mbunye kila anayekutngoza....just make sure mume wako ni mtu wa tatu na wamwisho kumega mbunye yako....wanaume kukuomba utamu ni a given wala halikwepeki ...sasa tumia akili zako yupi uumpe na yupi hastahili kupewa
 
Aaaaaaaaaaah! Hizi MADA ZINANIKUMBUSHA MACHUNGU YANGU!!!!!!!! NGOJA KWANZA NIWATUSI MY X BFS WOTE WALIOA NA WALIO SINGLE AFU NITARUDI KUTOA DOZI YA MAUMIVU KWA MGONJWA!!!!!!!!! (Mi MBABEEEEEEE! MSIPIME KABISA!!!!!! X WOTE TUKIKUTANA LAZIMA WAPIGE U TURN WAKINIONA, KAMA WAMEKAA BAR LAZIMA NIKIINGIA WATOKE, KAMA NI CHURCH LAZIMA WAHAME BENCH!!!!! I NEVER LIKE NEVERRRRRR FORGIVE!!!!!!!!!UJE UJAMBIE MAISHA YANGU AFU UONDOKE HIV HIVI! WHO THE F! ARE U!!!!!!!!?) NITARUREJEA KIUSHAURI ZAIDI

lara 1 post zako ni burudani tosha!we kweli kubwa la maadui
 
Ushauri wako mzuri. But pia awe tayari kutake risk; chochote atakachokutana nacho kwenye ndoa akubali tu. Maana ndio hajatest mambo!

akija mwingine a akubaliusikubali mlale naye mpaka akuoe.
 
Aaaaaaaaaaah! Hizi MADA ZINANIKUMBUSHA MACHUNGU YANGU!!!!!!!! NGOJA KWANZA NIWATUSI MY X BFS WOTE WALIOA NA WALIO SINGLE AFU NITARUDI KUTOA DOZI YA MAUMIVU KWA MGONJWA!!!!!!!!! (Mi MBABEEEEEEE! MSIPIME KABISA!!!!!! X WOTE TUKIKUTANA LAZIMA WAPIGE U TURN WAKINIONA, KAMA WAMEKAA BAR LAZIMA NIKIINGIA WATOKE, KAMA NI CHURCH LAZIMA WAHAME BENCH!!!!! I NEVER LIKE NEVERRRRRR FORGIVE!!!!!!!!! UJE UJAMBIE MAISHA YANGU AFU UONDOKE HIV HIVI! WHO THE F! ARE U!!!!!!!!?) NITARUREJEA KIUSHAURI ZAIDI

Hu tha **** r u pia?.
1st hao ma ex wako wote machoko haiwezekani eti upo ar wahame sijui church wahame bench,u kidding me kwani unawalipia sadaka?au biere unawanunulia ww?.na huo ubabe wako kwa nn hukulta wakat wanakumega ukaacha wakakukula mchele halafu wakakuacha??u better b ****in kidding me eti unajisifia mi mababe,wakati umetoa mchele kiulaini
 
Sasa nakupa ushauri dume USIKUBALI KUWA MNYONGE NA KUYAMALIZA KIMYA KIMYA!!!!!!! THE BEST 3 YEARS OF YOUR LIFE AINT A JOKE!!!!!!!!! Yaani UMSAMEHE BURE!!!!!!!!!! I SAY BULLSHIT!!!!!!! Binti FIGHT BACK!!!!!!! Ukikaa kiunyonge UTAPATA PRESSURE NA KISUKARI UTUACHIE HUYO BWANA TUMCHUNE!!!!!!!!!!!!!! FUC* THE PEACE!!!!!!!! DECLARE WAR!!!!!!!! 1. Nenda kwao huyo kaka waeleze UFIRAUNI WAKE WOTE (DONT LET HIM GET AWAY WITH IT!!!! NOT A DIME OF IT! MAKE HIM PAY!) Haitokupunguzia maumivu ila itakupa nguvu ya KUJUA WATU WA KARIBU YAKE WAMEMJUA UNDANI WAKE!!!!!!! Mazafanta mkubwa huyo!!!!! 2. Mtafute bibi harusi umueleze jinsi huyo Mazafanta alivokuwa NANYI NYOTE KWA MPIGO FOR 3 YRS!!!!!! Dnt feel bad its the truth anyway!!!!! Akiamua kuendelea nae ILA UKWELI KAUJUA(You will be doing her a favour) 3. Tell all his friends WHAT TYPE OF GUY HE IS!!!! Ndio wamjue uzuri tabia yake chafuuu!!!!!!!! 4. Tafuta mtu wa ofisini kwao UMPE FULL STORY ( PEOPLE HAVE THE RIGHT TO KNOW!) Na umbea wa ofisini unavosambaaa WAKICHANGA WAJUE BWANA HARUSI Mazafanta ndio!!!! Vurugavuruga hali ya hewa ya harusi!!!!!!!

USIKUBALI KABISA MTU AJE MAISHANI MWAKO AJAMBIE JAMBIE MAISHA YAKO AFU AONDOKE WITHOUT PAYING FOR HIS CRIMES!!!!!!! HELL TO THE NO!!!!!!!!! Mimi X Wangu wote ZOEZI LA KUPAY FOR THEIR CRIMES NI CONTINUOUS!!!!!!!! Hawatokaa WASAHAU SIKU WALIOINGIA MAISHANI MWANGU!!!!!!!!! Mtu anakufanyia umafya afu anapiga "IM SO SORRY!" SORRY MY BIG FAT A**!!!!!!!!!



Hv we dada unaongea utoko wa aina gani??hv umejiuliza hata huyu dada kabla ya kua na huyu kaka kawaacha machizi wangap??kwani ni lazimaaolewe na huyu kaka??unajuaje kama kuna mengi kayafanya na huyu kaka kavumilia ila huyu dada hajaweza kusema??watu wanaachana kwenye ndoa itakua hizi bf n gf zetu??y r u tht biased?unamkomoa nani??tatizo mnajiona malaika nn??u jus hav to concentrate on ths status sio hzo zako,una mentality chafu sa na ndomkitu kilichowafanya wakuguse na watambae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom