******************KUBWA LA MAFRIEND (DIE TRYING BEFORE U GET RICH )******************
unaonaje hapo???
lara1....
Nimependa spirit yako....to be sincere hakuna justification ya mtu kumdanganya msichana/mwanamke na kumwacha just like that-Yes, I know majority wanakuja na they will always come with stuffs like" acha tu" "samehe tu" "yatapita" and the like...lakini hiyo yote maana yake Mwanamke ndio anabeba mzigo and suffers the consequences..Huyu mwanaume anaachwa huru aendelee ku-enjoy,WHY??????
The fundamental idea hapa ni kuwa kama ambavyo mwanamke ana suffer kwa kutendwa,ndivyo na mwanaume lazima itafutwe a way na yeye kupata uchungu,kama ambavyo kisaikolojia mwanamke anahangaika na kwa baadhi ndio maisha yao yana-take direction nyingine tofauti kabisa na labda ndio yanaharibika for good,halafu inakuwaje mwanaume aachiwe aendelee kula life kwa raha zote huku nyuma anawaachia wengine maumivu??
Kama SICILIANS hakuna kuachia kitu,kadri unavyoweza na make him suffer kama alivyokufanya wewe period,kwa means gani,itategemea uwezo wako...
akija mwingine usikubali mlale naye mpaka akuoe.
akija mwingine usikubali mlale naye mpaka akuoe.
Mi ni msichana aged 25, nimeona nije hapa nimwage mauchungu yangu i believe t will help. Nimekuwa na boyfriend for almost three years nilimpenda mnooo naye alionekana kunipenda alinijali n.k yaani he was agud man tulienjoy nakupendana, siku kama nne hivi zilizopita nashangaa anakuja na kuniambia kuwa ana mchumba alikua naye b4 me na muda wa kuoana umefika, mpaka sasa hivi nashindwa kuelewa hakuonyesha dalili za kuwa na mtu hakutaja na alikuwepo whenever I needed him, im hurt beyond... sijawahi jisikia hivi moyo unauma kuliko ambavyo nimewahi kutuma, I feel confused sijui cha kufanya sijui jinsi ya kureact. Ndo nikaona labda nijimwage hapa lbd itasaidi maana zimepita siku kama tatu nne sioni relief.
lara1....
Nimependa spirit yako....to be sincere hakuna justification ya mtu kumdanganya msichana/mwanamke na kumwacha just like that-Yes, I know majority wanakuja na they will always come with stuffs like" acha tu" "samehe tu" "yatapita" and the like...lakini hiyo yote maana yake Mwanamke ndio anabeba mzigo and suffers the consequences..Huyu mwanaume anaachwa huru aendelee ku-enjoy,WHY??????
The fundamental idea hapa ni kuwa kama ambavyo mwanamke ana suffer kwa kutendwa,ndivyo na mwanaume lazima itafutwe a way na yeye kupata uchungu,kama ambavyo kisaikolojia mwanamke anahangaika na kwa baadhi ndio maisha yao yana-take direction nyingine tofauti kabisa na labda ndio yanaharibika for good,halafu inakuwaje mwanaume aachiwe aendelee kula life kwa raha zote huku nyuma anawaachia wengine maumivu??
Kama SICILIANS hakuna kuachia kitu,kadri unavyoweza na make him suffer kama alivyokufanya wewe period,kwa means gani,itategemea uwezo wako...
kha!!! wee unawajua wanaume unawasikia!!??? usipotoa mbunye ndio usahau kabisa kuolewa...nani anataka kuuziwa mbuzi kwenye gunia ?
dah,....pole sana.....ngoja nikuPM kitu........
Duh!kazi ipo,ss tutawapa wangapi?mpaka mtu uje uolewe c balaa
Aaaaaaaaaaah! Hizi MADA ZINANIKUMBUSHA MACHUNGU YANGU!!!!!!!! NGOJA KWANZA NIWATUSI MY X BFS WOTE WALIOA NA WALIO SINGLE AFU NITARUDI KUTOA DOZI YA MAUMIVU KWA MGONJWA!!!!!!!!! (Mi MBABEEEEEEE! MSIPIME KABISA!!!!!! X WOTE TUKIKUTANA LAZIMA WAPIGE U TURN WAKINIONA, KAMA WAMEKAA BAR LAZIMA NIKIINGIA WATOKE, KAMA NI CHURCH LAZIMA WAHAME BENCH!!!!! I NEVER LIKE NEVERRRRRR FORGIVE!!!!!!!!!UJE UJAMBIE MAISHA YANGU AFU UONDOKE HIV HIVI! WHO THE F! ARE U!!!!!!!!?) NITARUREJEA KIUSHAURI ZAIDI
akija mwingine a akubaliusikubali mlale naye mpaka akuoe.
tulia hivyo hivyo
ukihisi unataka kuzimia, usizimie
hapo ndio MUUJIZA wako utaupata.
Aaaaaaaaaaah! Hizi MADA ZINANIKUMBUSHA MACHUNGU YANGU!!!!!!!! NGOJA KWANZA NIWATUSI MY X BFS WOTE WALIOA NA WALIO SINGLE AFU NITARUDI KUTOA DOZI YA MAUMIVU KWA MGONJWA!!!!!!!!! (Mi MBABEEEEEEE! MSIPIME KABISA!!!!!! X WOTE TUKIKUTANA LAZIMA WAPIGE U TURN WAKINIONA, KAMA WAMEKAA BAR LAZIMA NIKIINGIA WATOKE, KAMA NI CHURCH LAZIMA WAHAME BENCH!!!!! I NEVER LIKE NEVERRRRRR FORGIVE!!!!!!!!! UJE UJAMBIE MAISHA YANGU AFU UONDOKE HIV HIVI! WHO THE F! ARE U!!!!!!!!?) NITARUREJEA KIUSHAURI ZAIDI
Sasa nakupa ushauri dume USIKUBALI KUWA MNYONGE NA KUYAMALIZA KIMYA KIMYA!!!!!!! THE BEST 3 YEARS OF YOUR LIFE AINT A JOKE!!!!!!!!! Yaani UMSAMEHE BURE!!!!!!!!!! I SAY BULLSHIT!!!!!!! Binti FIGHT BACK!!!!!!! Ukikaa kiunyonge UTAPATA PRESSURE NA KISUKARI UTUACHIE HUYO BWANA TUMCHUNE!!!!!!!!!!!!!! FUC* THE PEACE!!!!!!!! DECLARE WAR!!!!!!!! 1. Nenda kwao huyo kaka waeleze UFIRAUNI WAKE WOTE (DONT LET HIM GET AWAY WITH IT!!!! NOT A DIME OF IT! MAKE HIM PAY!) Haitokupunguzia maumivu ila itakupa nguvu ya KUJUA WATU WA KARIBU YAKE WAMEMJUA UNDANI WAKE!!!!!!! Mazafanta mkubwa huyo!!!!! 2. Mtafute bibi harusi umueleze jinsi huyo Mazafanta alivokuwa NANYI NYOTE KWA MPIGO FOR 3 YRS!!!!!! Dnt feel bad its the truth anyway!!!!! Akiamua kuendelea nae ILA UKWELI KAUJUA(You will be doing her a favour) 3. Tell all his friends WHAT TYPE OF GUY HE IS!!!! Ndio wamjue uzuri tabia yake chafuuu!!!!!!!! 4. Tafuta mtu wa ofisini kwao UMPE FULL STORY ( PEOPLE HAVE THE RIGHT TO KNOW!) Na umbea wa ofisini unavosambaaa WAKICHANGA WAJUE BWANA HARUSI Mazafanta ndio!!!! Vurugavuruga hali ya hewa ya harusi!!!!!!!
USIKUBALI KABISA MTU AJE MAISHANI MWAKO AJAMBIE JAMBIE MAISHA YAKO AFU AONDOKE WITHOUT PAYING FOR HIS CRIMES!!!!!!! HELL TO THE NO!!!!!!!!! Mimi X Wangu wote ZOEZI LA KUPAY FOR THEIR CRIMES NI CONTINUOUS!!!!!!!! Hawatokaa WASAHAU SIKU WALIOINGIA MAISHANI MWANGU!!!!!!!!! Mtu anakufanyia umafya afu anapiga "IM SO SORRY!" SORRY MY BIG FAT A**!!!!!!!!!