lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,190
Hv we dada unaongea utoko wa aina gani??hv umejiuliza hata huyu dada kabla ya kua na huyu kaka kawaacha machizi wangap??kwani ni lazimaaolewe na huyu kaka??unajuaje kama kuna mengi kayafanya na huyu kaka kavumilia ila huyu dada hajaweza kusema??watu wanaachana kwenye ndoa itakua hizi bf n gf zetu??y r u tht biased?unamkomoa nani??tatizo mnajiona malaika nn??u jus hav to concentrate on ths status sio hzo zako,una mentality chafu sa na ndomkitu kilichowafanya wakuguse na watambae
Hahahahaaaaaaaaaaaaaaa! NAONA UMETUMIA FAKE ID KUJA KUJIBU POST ZANGU!!!!!!!! Kama unataka majibu yangu TUMIA REAL ID YAKO!!!!!!!!!! Vinginevyo siongei na fekeroooooooooo!!!!!!