HP1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2012
- 3,362
- 874
Muumini alikuwa anaungama katika kibanda cha kitubio
muunini:nimeua mtoto wa mwenzangu
padre:ilikuwaje?
Muumini: alikuwa amemlaza nikamuua
padre akachungulia kidogo akaona muumini ana umri mdogo, hata hivyo akaendelea
padre: kwa nini ulimuua?
Muumini: nilikuwa sijamuona nikamkanyaga shingoni akafa. Alikuwa wa udongo
muunini:nimeua mtoto wa mwenzangu
padre:ilikuwaje?
Muumini: alikuwa amemlaza nikamuua
padre akachungulia kidogo akaona muumini ana umri mdogo, hata hivyo akaendelea
padre: kwa nini ulimuua?
Muumini: nilikuwa sijamuona nikamkanyaga shingoni akafa. Alikuwa wa udongo