Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
He he he he, mume mtamu jamani.
Na hizi cost cut za makazini ajira hamna na mitaji hamna.
Bisahara ilobaki ni ndoa, unakuwa hausi wife, mtu mwingine anajibebesha uzazi wako bure bure
Nani atataka kupoteza hilo? Am thinking kuajiriwa kama hausi wife kwa kweli, nimechoka maji ya asubuhi.
Na hizi cost cut za makazini ajira hamna na mitaji hamna.
Bisahara ilobaki ni ndoa, unakuwa hausi wife, mtu mwingine anajibebesha uzazi wako bure bure
Nani atataka kupoteza hilo? Am thinking kuajiriwa kama hausi wife kwa kweli, nimechoka maji ya asubuhi.