Nimetokea kumpenda huyu kaka

Nimetokea kumpenda huyu kaka

kama wewe ni mkatoliki mwimbie ule wimbo wa Ben Mukasa '' ninakupenda, nimezimika na wewe sikia, ninatamani uwe wangu niwe wako siku zote, nitakusifu.......''
 
Ukiwa unaenda zoezi usiwe unavaa chupi. ili ukipata nafasi una mpanulia miguu na kumwambia onahii K, hapo atakuelewa tu, yawezekana akaahilisha ndoa akakuoa wewe.
 
Yaani wote mnafanya kazi ya mungu harafu unataka kumtumbukiza mwenzio kwenye dhambi ya Uzinifu?na ndio umeanza kwaya tu ..usimtie mwenzio majaribuni

Ama wataka future husband lol

Mleta mada hajaongelea suala la ngono,yeye amempenda tu au kumpenda mtu ni dhambi?
 
Unadhani we ukiwa malaya ndo na wengine watakuwa hivyo.

Kafilie mbali na umalaya wako peke yako.

Kupenda sio umalaya mkuu,ni vema ukae kimya kama huna mchango wa kumsaidia mleta mada!
 
kaaah... mwanamke kumtongoza mwanaume.... !!!! in Africa...!!?? ww utakuwa MALAYA WALA SIFICHII....

Bado una mtazamo wa kizamani bro... Mwanamke nae ana hisia km ulivyo wewe... Nimewahi kushuhudia ndoa iliyotokana na matunda ya mdada kumuaproach mkaka... Aliyethubutu kukwambia ni kweli amekupenda... Achana na mfumo dume kijana
 
... haya ni maneno tu hata kwenye kanga yapo....♥♡

...it doesn*t work.... haipo kwetu africa.... go wherever in Africa ww..... kama ni mashuga mami kununua vijana kula nao uroda I hv no objection..... sio NDOA....MWANAUME HATONGOZWI NYIE WANAWAKE.... hamkai na kuelewa.... huyu ni MALAYA MZOEFU KATIA MGUU HADI KANISANI SASA KUENDELEZA UFUSKA WAKE.....shetani yupo kila kona hasa makanisani tena wamevaa kwa kupendeza kwa kunyegesha.... we know kwa wajanja....♡♥♥


Bado una mtazamo wa kizamani bro... Mwanamke nae ana hisia km ulivyo wewe... Nimewahi kushuhudia ndoa iliyotokana na matunda ya mdada kumuaproach mkaka... Aliyethubutu kukwambia ni kweli amekupenda... Achana na mfumo dume kijana
 
Habari wana jf, hivi karibuni nimejiunga na kwaya, kuna kaka mmoja nimetokea kumpenda lakini nashindwa nianzie wapi kumwambia yaliyo ndani ya moyo wangu. Hebu nipeni ujuzi wana jf, mwanamke unaanzaje kumwambia mwanaume unampenda, natamani tuwe tu marafiki wa kawaida wa kuchart not otherwise, sasa nitumie njia gani kumwambia, wote ni viongozi kwenye jumuiya lakini dah nashindwa pa kuanzia.

Naona unatafuta gonjwa!! Wee endelea tu. Utakipata unachokitafuta.
 
usimake conclusion ya hivyo kumbuka kuwa mimi ni binadamu nina hisia pia.
sasa si ungesema kweli kuwa una hisia nae sio kutwambia urafiki wa kawaida na mwenzio ana mchumba tayari then ukaja kumvurugia mwenzio mipango yake,.
 
kumbuka maandiko yanakataza kumtamani mke/mume wa jirani yako sasa wewe km ameshapata mke wake mtarajiwa kw nini usisugue goti tu upate wa kwako? achana na mawazo ya huyo kaka mana alishapata wa kufanana nae ndo mana anataka kukamilisha taratibu za kikristo ajichukulie jiko lake.
 
Mi nawaza kwani maombi ya urafiki wa kawaida kabisa huwa yana kona kona zote hizi?!
Akatae kwa nn?! umalaya kivipi?
Ama labda kuna kitu hatujaelewa?!
Katika hali ya kawaida urafiki hauombwi
friend requests are for social media tu
Ila huyu dada anaonesha kuna kitu kinamziwia
Ndio nataka kwanza kuelewa ni kitu gani?
 
Habari wana jf, hivi karibuni nimejiunga na kwaya, kuna kaka mmoja nimetokea kumpenda lakini nashindwa nianzie wapi kumwambia yaliyo ndani ya moyo wangu. Hebu nipeni ujuzi wana jf, mwanamke unaanzaje kumwambia mwanaume unampenda, natamani tuwe tu marafiki wa kawaida wa kuchart not otherwise, sasa nitumie njia gani kumwambia, wote ni viongozi kwenye jumuiya lakini dah nashindwa pa kuanzia.

Mungu akusaidie jamani,,kunashetani ndani ya kichwa yako na usingeeza gundua mapema.......
nenda kamwambie PADRI anaweza kukusaidia........othawise hiyo kwaya na jumuiya ishaanza kunuka ngono.......
i swea mtaishia huko...........sali sana ili MUNGU akunusuru
 
Habari wana jf, hivi karibuni nimejiunga na kwaya, kuna kaka mmoja nimetokea kumpenda lakini nashindwa nianzie wapi kumwambia yaliyo ndani ya moyo wangu. Hebu nipeni ujuzi wana jf, mwanamke unaanzaje kumwambia mwanaume unampenda, natamani tuwe tu marafiki wa kawaida wa kuchart not otherwise, sasa nitumie njia gani kumwambia, wote ni viongozi kwenye jumuiya lakini dah nashindwa pa kuanzia.

...na ukifanikiwa katika adhma yako ya kumtongoza mwanaume tambua kuwa hutaacha kutongoza wanaume maisha yako yoootee hata ukija kuolewa...
 
Habari wana jf, hivi karibuni nimejiunga na kwaya, kuna kaka mmoja nimetokea kumpenda lakini nashindwa nianzie wapi kumwambia yaliyo ndani ya moyo wangu. Hebu nipeni ujuzi wana jf, mwanamke unaanzaje kumwambia mwanaume unampenda, natamani tuwe tu marafiki wa kawaida wa kuchart not otherwise, sasa nitumie njia gani kumwambia, wote ni viongozi kwenye jumuiya lakini dah nashindwa pa kuanzia.


Mmekua mkitusumbua sana hasa sie walimu wa kwaya. Naomba uache kuimba ili usimtie majaribun huyo kijana mwenye nia ya dhati ya kuinjilisha kwa njia ya nyimbo. Maana hamtaishia kwenye urafiki huo unaosema
 
sasa unasema ashindwe kwa jina la yesu, kwani wachumba huwa wanapatikana wapi kama sio kwenye social gathering!!!!!!!!!!!au wewe ungependa akatafute mchumba club au bar?kuna kosa gani mtu kumpenda mwana kwaya mwenzie jamani?
Hata mimi sijaona kosa la huyu dada bado hata apewe adhabu ya kukemewa hivi, kwani upendo hua ni kwetu tu wanaume? Anyway, kuna jamaa yangu 1 aliwahi kupendwa na mdada 1 kwenye kwaya hivyo hivyo, yule dada (hakuwahi kua na scandal yeyote ya kutoka na men hata 1 pale) akaamua kumtokea men wa watu, jamaa akajizungusha and then aliamua kuhamia Kenya kama mwaka 1 hivi, aliporudi yule mdada bado yupo tu, waliisha oana na sasa wana watoto 2, katoto kamoja hua kanatangazaga hata matangazo ya biashara kwenye TV ya super Brand No 1
 
Habari wana jf, hivi karibuni nimejiunga na kwaya, kuna kaka mmoja nimetokea kumpenda lakini nashindwa nianzie wapi kumwambia yaliyo ndani ya moyo wangu. Hebu nipeni ujuzi wana jf, mwanamke unaanzaje kumwambia mwanaume unampenda, natamani tuwe tu marafiki wa kawaida wa kuchart not otherwise, sasa nitumie njia gani kumwambia, wote ni viongozi kwenye jumuiya lakini dah nashindwa pa kuanzia.

Kaa na ufuate ninachokupeleka kanisani na mungu atakupa mme mwema. Hizo ni tamaa. Halafu huyo jamaa ana girl - friend wake. Utasababisha majanga
  • :becky:


  • :glasses-nerdy:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom