frank wa moyo
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 480
- 113
muombe mungu atakusaidia upendo kitu kizuri
Habari wana jf, hivi karibuni nimejiunga na kwaya, kuna kaka mmoja nimetokea kumpenda lakini nashindwa nianzie wapi kumwambia yaliyo ndani ya moyo wangu. Hebu nipeni ujuzi wana jf, mwanamke unaanzaje kumwambia mwanaume unampenda, natamani tuwe tu marafiki wa kawaida wa kuchart not otherwise, sasa nitumie njia gani kumwambia, wote ni viongozi kwenye jumuiya lakini dah nashindwa pa kuanzia.
Mleta mada hajaongelea suala la ngono,yeye amempenda tu au kumpenda mtu ni dhambi?
Na ndicho ninachoogopa, mbaya zaidi anategemea kufunga ndoa miezi michache ijayo.
hahahah ulishawahi kuimba kwaya??? ukajua hayo!!!kanisani kuna taratibu zake ila huyo yupo ki- uzinzi zaidi, kama huamini anza kuimba kwaya uone watu wanavyo gegedana
Kama huna mume unaweza kuanza kwa kumuhoji kiufundi kama ana mke au GF, ukijua hana mahusiano yeyote basi unaweza kuanzia hapo kwa namna ambavyo utaweza. Ila ni vizuri kwanza kujua hana mahusiano....Habari wana jf, hivi karibuni nimejiunga na kwaya, kuna kaka mmoja nimetokea kumpenda lakini nashindwa nianzie wapi kumwambia yaliyo ndani ya moyo wangu. Hebu nipeni ujuzi wana jf, mwanamke unaanzaje kumwambia mwanaume unampenda, natamani tuwe tu marafiki wa kawaida wa kuchart not otherwise, sasa nitumie njia gani kumwambia, wote ni viongozi kwenye jumuiya lakini dah nashindwa pa kuanzia.
Habari wana jf, hivi karibuni nimejiunga na kwaya, kuna kaka mmoja nimetokea kumpenda lakini nashindwa nianzie wapi kumwambia yaliyo ndani ya moyo wangu. Hebu nipeni ujuzi wana jf, mwanamke unaanzaje kumwambia mwanaume unampenda, natamani tuwe tu marafiki wa kawaida wa kuchart not otherwise, sasa nitumie njia gani kumwambia, wote ni viongozi kwenye jumuiya lakini dah nashindwa pa kuanzia.
Nimeshaanza kukuuliza kama yupo kwenye mahusiano kumbe anatarajia kufunga ndoa karibuni!!!!Na ndicho ninachoogopa, mbaya zaidi anategemea kufunga ndoa miezi michache ijayo.
Habari wana jf, hivi karibuni nimejiunga na kwaya, kuna kaka mmoja nimetokea kumpenda lakini nashindwa nianzie wapi kumwambia yaliyo ndani ya moyo wangu. Hebu nipeni ujuzi wana jf, mwanamke unaanzaje kumwambia mwanaume unampenda, natamani tuwe tu marafiki wa kawaida wa kuchart not otherwise, sasa nitumie njia gani kumwambia, wote ni viongozi kwenye jumuiya lakini dah nashindwa pa kuanzia.
Kupenda sio umalaya mkuu,ni vema ukae kimya kama huna mchango wa kumsaidia mleta mada!
Katika hali ya kawaida urafiki hauombwi
friend requests are for social media tu
Ila huyu dada anaonesha kuna kitu kinamziwia
Ndio nataka kwanza kuelewa ni kitu gani?
Habari wana jf, hivi karibuni nimejiunga na kwaya, kuna kaka mmoja nimetokea kumpenda lakini nashindwa nianzie wapi kumwambia yaliyo ndani ya moyo wangu. Hebu nipeni ujuzi wana jf, mwanamke unaanzaje kumwambia mwanaume unampenda, natamani tuwe tu marafiki wa kawaida wa kuchart not otherwise, sasa nitumie njia gani kumwambia, wote ni viongozi kwenye jumuiya lakini dah nashindwa pa kuanzia.
Ndio maana mimi napaata shaka kama ni urafiki wa kawaida tu! Labda na tuhisia twingine tupo ndani hapo, afu si umeona anasema jamaa yuko karibu kuoa! Kama ungekua urafiki wa kawaida tu, that could have been even easier, anajua anaye mtu, tena anataka kumuoa so friends it is, na harusi anachangia kuweka msisitizo!