Nimetokea kumpenda huyu kaka

Nimetokea kumpenda huyu kaka


  • acha uongo na unamdanganya nani?
  • toka lini urafiki wa kawaida huwa una hofu ndani yake?
  • sema ukweli kwamba unataka kuzini naye.
  • kumbuka mshahara wa dhambi ni mauti.
  • mwombe mungu akuwezeshe kushinda hiyo kiu kali ya kugegedwa na huyo kaka.

mmu bana utadhani ni idara ya Kakobe...pheeeeeewwww,najiondokea zangu.
Madame B Mamndenyi Kongosho nyie ndo mnayaweza haya mambo ya ulokole.....kwani mtu kama ana mchumba ndo nini?
 
Last edited by a moderator:
teh teh teh... mambo yawana kwaya bwana...!!
 
Na ndicho ninachoogopa, mbaya zaidi anategemea kufunga ndoa miezi michache ijayo.
Mbona hueleweki binti yetu, mara ya kwanza ulisema unataka wa kuchat naye tu, sasa hivi umekuja na hoja ya kuanza kumuonea wivu kwa mbali kwa sababu anatarajia kuoa hivi karibuni.

Hebu tudadavulie kipi hasa unataka toka kwa huyo Kaka, kama ni uchumba halafu ndoa au ni mapenzi tu au ni rafiki wa kuchat tu?
 
Habari wana jf, hivi karibuni nimejiunga na kwaya, kuna kaka mmoja nimetokea kumpenda lakini nashindwa nianzie wapi kumwambia yaliyo ndani ya moyo wangu. Hebu nipeni ujuzi wana jf, mwanamke unaanzaje kumwambia mwanaume unampenda, natamani tuwe tu marafiki wa kawaida wa kuchart not otherwise, sasa nitumie njia gani kumwambia, wote ni viongozi kwenye jumuiya lakini dah nashindwa pa kuanzia.
Mimi pia naimba kwaya kama vipi njoo ujiunge na kwaya yetu kanisa la mt. Petro.
 
Sasa ww umekwenda kwa Ajiri ya kumtumikia Mungu o kwa ajiri ya kumteka !uyo jamaa..!Usimwingize mwezako katika Majaribu.
 
Mpe tu hyo kitu inamesa menzake

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Habari wana jf, hivi karibuni nimejiunga na kwaya, kuna kaka mmoja nimetokea kumpenda lakini nashindwa nianzie wapi kumwambia yaliyo ndani ya moyo wangu. Hebu nipeni ujuzi wana jf, mwanamke unaanzaje kumwambia mwanaume unampenda, natamani tuwe tu marafiki wa kawaida wa kuchart not otherwise, sasa nitumie njia gani kumwambia, wote ni viongozi kwenye jumuiya lakini dah nashindwa pa kuanzia.

Yaani ww sijui nianzie wapi kukupasua jipu lako: WW umeingia tu ktk kwaya na kuanza kupenda eeh? kwa nini usizingatie kwanza kilichokupeleka huko? Huyo mtu uliyetokea kumpenda ww unamjua? unamjua vizuriii? au unapenda penda tu?
nakushauri Tulizana Imba Kwaya tulizana na kabla ya kupenda uwe mwangalifu sana - sikutishi wala sikukatazi kupenda, ila nakushauri tu ili usije kulia kilio cha Mbwa mdomo wazi. Kupenda unaweza kupenda lakini uwe na modarate speed, yaani speed ya wastani.
 
Hafu wakanisan wanasifa hao,niulize mimi ukimwambia tu atakutangaza eti wakuombee ww pepo.jaribu uone mwenyewe
 
toka shetani, au kwaya ya TOT nini ila kama ya kuhubiri neno inili na kumwimbia mungu, ushindwe katika jina la yesu

Kaka hapo naona umekurupuka, kwani wana kwaya hawaowani mpaka uanze kusema ivo? ivi kama angekuwa ni mwanaume amempenda mwanakikundi mwenzake kwa nia njema hapo kuna tatizo? unless huyu dada kama angesema amemtamani ili wavunje hiyo mnayoiita amri ya sita ndipo tungemuona kakosea, lakini hajasema ivo kwa hiyo reply in positive way
 
Kama wataka kuchat naye tu na cio vinginevyo iweje umwogope kumwambia mi navyojua uwoga unaingia kutokana na lengo lako km lengo lako lingekua mapenz ndo ungeogopa lkn we ni kuchat tu unaweza kumwambia tu dada yangu kuchat na kupiga stor akujakatazwa kwenye dini.
 
Mi nadhani hata wanakwaya wanaoa na kuolewa na kama ni kwa mpango huo basi dada zangu mpeni mbinu.Lakini kama ni kwa lengo la kuzini napo sishangai maana hata shetani alikuwa ni mwanakwaya na hapo maombi yanahitajika.
 
Habari wana jf, hivi karibuni nimejiunga na kwaya, kuna kaka mmoja nimetokea kumpenda lakini nashindwa nianzie wapi kumwambia yaliyo ndani ya moyo wangu. Hebu nipeni ujuzi wana jf, mwanamke unaanzaje kumwambia mwanaume unampenda, natamani tuwe tu marafiki wa kawaida wa kuchart not otherwise, sasa nitumie njia gani kumwambia, wote ni viongozi kwenye jumuiya lakini dah nashindwa pa kuanzia.

Wewe una lako jambo,Suala la kuchati halihitaji maelezo marefu,huyo ni mwana kwaya mwenzako na kabla ya kujifunza nyimbo mnapiga story na mnavyomaliza mazoezi mnapiga stori na mnatawanyika:Sasa kama nia yako ni kuchati mbona sio issue kwani kikundi cha watu wachache lazima utakua una namba ya kila mwana kwaya mwenzako.

HAPO NAONA MUNGU ANAMLINDA HUYO JAMAA KUTOKANA NA DHAMIRA MBAYA ULIYONAYO MOYONI AMBAYO ITABOMOA MAHUSIANO YA HUYO JAMAA NA MCHUMBA WAKE,..Hiyo hofu yako isiyo na uzito mbele ya macho na akili za watu wa kawaida ni fimbo ya mungu kukuzuia usiharibu mahusiano ya watu wengine,..
 
Habari wana jf, hivi karibuni nimejiunga na kwaya, kuna kaka mmoja nimetokea kumpenda lakini nashindwa nianzie wapi kumwambia yaliyo ndani ya moyo wangu. Hebu nipeni ujuzi wana jf, mwanamke unaanzaje kumwambia mwanaume unampenda, natamani tuwe tu marafiki wa kawaida wa kuchart not otherwise, sasa nitumie njia gani kumwambia, wote ni viongozi kwenye jumuiya lakini dah nashindwa pa kuanzia.

una uhakika unataka urafiki tu au??? embu usikilize tena moyo wako, ingekuwa urafiki tu usingejiuliza jinsi ya kuanza lol!!!!!!!!! hii itakuwa kitu ingine mwili unatakaaaaaaaa
 
jamani toeni mawazo acheni kuponda?mm nakuxhauri usiupe mwili nafasi yakufanya maamuzi...huyo anaoa ebu achana naye dada
 
Habari wana jf, hivi karibuni
nimejiunga na kwaya, kuna kaka mmoja nimetokea kumpenda lakini nashindwa
nianzie wapi kumwambia yaliyo ndani ya moyo wangu. Hebu nipeni ujuzi
wana jf, mwanamke unaanzaje kumwambia mwanaume unampenda, natamani tuwe
tu marafiki wa kawaida wa kuchart not otherwise, sasa nitumie njia gani
kumwambia, wote ni viongozi kwenye jumuiya lakini dah nashindwa pa
kuanzia.

ww dada kwa post hii huna lolote na ukikaa vibaya hutaolewa.una muwako mkubwa wa tamaa ya mwili.
 
Una haki ya kuwa na hisia za kupenda lakini kama umeshasema anataraji kufunga ndoa hivi karibuni hisia zako haziwezi kuwa excuse za wewe kumpenda. Utashi uliopewa na Mwenyezi Mungu ni kuutumia kutawala hisia katika hali kama hizi. Kwa kuendelea kumrubuni, unamuingiza kwenye kishawishi na laana haitakukwepa. Tafuta wa kwako, muombe Mungu katika kwaya unazoimba utapewa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom