Nimetokea kumpenda huyu kaka

Nimetokea kumpenda huyu kaka

kwanini unashindwa kumwambia? Unahisi ukimwambia nini kitatokea?
Unaogopa akuone malaya? unaogopa atakataa ombi lao? au nini hasa?

Mi nawaza kwani maombi ya urafiki wa kawaida kabisa huwa yana kona kona zote hizi?!
Akatae kwa nn?! umalaya kivipi?
Ama labda kuna kitu hatujaelewa?!
 
Habari wana jf, hivi karibuni nimejiunga na kwaya, kuna kaka mmoja nimetokea kumpenda lakini nashindwa nianzie wapi kumwambia yaliyo ndani ya moyo wangu. Hebu nipeni ujuzi wana jf, mwanamke unaanzaje kumwambia mwanaume unampenda, natamani tuwe tu marafiki wa kawaida wa kuchart not otherwise, sasa nitumie njia gani kumwambia, wote ni viongozi kwenye jumuiya lakini dah nashindwa pa kuanzia.

kama wote ni wanakwaya then ni viongozi wa jumuiya lazima mtakuwa na mawasiliano ya mara kwa mara sasa tatizo liko wapi kama huna mawasiliano yake muombe atakupa kwani ni jumuiya moja si kitu kigeni mpaka kuomba ushauri kama ulivyojieleza hapo juu na kama kuna swala labda lakini kuchart ni swala dogo sana.
 
Na ndicho ninachoogopa, mbaya zaidi anategemea kufunga ndoa miezi michache ijayo.


kaaah... mwanamke kumtongoza mwanaume.... !!!! in Africa...!!?? ww utakuwa MALAYA WALA SIFICHII....
 
Habari wana jf, hivi karibuni nimejiunga na kwaya, kuna kaka mmoja nimetokea kumpenda lakini nashindwa nianzie wapi kumwambia yaliyo ndani ya moyo wangu. Hebu nipeni ujuzi wana jf, mwanamke unaanzaje kumwambia mwanaume unampenda, natamani tuwe tu marafiki wa kawaida wa kuchart not otherwise, sasa nitumie njia gani kumwambia, wote ni viongozi kwenye jumuiya lakini dah nashindwa pa kuanzia.

Kemea hilo pepo la ngono...unataka kumwambia nini? Kama ni wanajumiya si mnakutana mnasalimiana mnaongea kwisha...urafiki gani zaidi ya huo.

Unajua dada kuna roho mbili unazikia kwa sasa! Nakushauri uisikie hiyo roho inayosita kwa sababu pia ni lazima inakupa sababu kwa si sahihi unavyotaka kufanya. Pia shukuru kwamba una roho ya Mungu...ungekuwa unamilikiwa na shetani 100% usinge bisha hodi hapa jamvini..ingekuwa vituko kwa kwenda mbele kuanzia mavazi mpaka kumtumia jumbe kadhaa. Hesabu kuwa umeshashinda hilo jaribu.
 
Thats just dumb ....
Sorry, thats the only word I can think of.


... that*s prostitution per se. ... even I don*t have to think tht.... ur promoting prostitution .... mwanaume ndio ANA ERECT kisha anaingiza ndio sex inatokea...sasa demu
aki erect then mwanaume hajapenda NO SEX HAPO.... a MAN will remain a man..donor & mtongozaji.. & a woman will remain a womain... receiver na mtongozwaji...period....!!! na kama hutaki unataki wanawake wawatongoze wanaume MUULIZE MUNGU aliyeumba SIO MM ....!!!!♡♥♥♥
 
Na ndicho ninachoogopa, mbaya zaidi anategemea kufunga ndoa miezi michache ijayo.

Uuuwiii!!! Dada kaa kimya, ukiona yanakushinda acha kwenda kwaya ukae mbali naye!! Fullstop!! Usijejiibulia kashfa bure!!

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
... that*s perse prostitution.... even I don*t have to think tht.... ur promoting prostitution .... mwanaume ndio ANA ERECT kisha anaingiza ndio sex inatokea...sasa demu
aki erect then mwanaume hajapenda NO SEX HAPO.... a MAN will remain a man..donor & mtongozaji.. & a woman will remain a womain... receiver na mtongozwaji...period....!!! na kama hutaki unataki wanawake wawatongoze wanaume MUULIZE MUNGU aliyeumba SIO MM ....!!!!♡♥♥♥
lOl, I guess I was right.
Tradition vs. Logic.
 
... that*s prostitution per se. ... even I don*t have to think tht.... ur promoting prostitution .... mwanaume ndio ANA ERECT kisha anaingiza ndio sex inatokea...sasa demu
aki erect then mwanaume hajapenda NO SEX HAPO.... a MAN will remain a man..donor & mtongozaji.. & a woman will remain a womain... receiver na mtongozwaji...period....!!! na kama hutaki unataki wanawake wawatongoze wanaume MUULIZE MUNGU aliyeumba SIO MM ....!!!!♡♥♥♥

Mmewahi kumuhukumu! Hajasema anamtaka kimapenzi, amesema anataka awe rafki ake!! Angeweza go ahead bila kuomba ushauri, lakini binafsi ame-doubt nafsi yake huo urafiki wa kawaida unaanzwaje, akaja kwenu "great thinkers" kuomba ushauri!! Umalaya uko wapi?! Na isitoshe, si ajabu mdada wa watu ni mdogo tu na mgeni kwenye urafiki na wakaka, ndio maana akadoubt nafsi yake nakuwauliza!! Msimparamie, hajasema anataka mapenzi!!

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
...Don*t go around the bush buddy.....!!!

... huyu mwanamke si mdogo.... kanyegeka....kapevuka....anajua mapenzi....kasema anamtamani..... ww with ur head caring brain ulifikiri anamtaka huyo mkaka
1. ale nae ubwabwa
2. anywe nae soda...
3. akacheze nae music
4. awe ndugu yake
5. awe .... awe...... stop diverting the truth....

mdada anataka amtongoze mwanaume akapigwe puuumb*****

....come clean & clear....◆◆•○●●


Mmewahi kumuhukumu! Hajasema anamtaka kimapenzi, amesema anataka awe rafki ake!! Angeweza go ahead bila kuomba ushauri, lakini binafsi ame-doubt nafsi yake huo urafiki wa kawaida unaanzwaje, akaja kwenu "great thinkers" kuomba ushauri!! Umalaya uko wapi?! Na isitoshe, si ajabu mdada wa watu ni mdogo tu na mgeni kwenye urafiki na wakaka, ndio maana akadoubt nafsi yake nakuwauliza!! Msimparamie, hajasema anataka mapenzi!!

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
lOl, I guess I was right.
Tradition vs. Logic.


... ur guessing...wat....!!?? lmao...I'm real...!!!

... if u think mapenzi yana LOGIC or FORMULA ur lost 101%.... then ur in a day dream..... this isn't maths... is it...??
... MAPENZI NI MAPENZI..... no definition zaidi ya hapo..... Ni fumbo....na MWANAUME NDIYE ATAMTONGOZA MWANAMKE .... full stop...!!!!
 
... ur guessing...wat....!!?? lmao...I'm real...!!!

... if u think mapenzi yana LOGIC or FORMULA ur lost 101%.... then ur in a day dream..... this isn't maths... is it...??
... MAPENZI NI MAPENZI..... no definition zaidi ya hapo..... Ni fumbo....na MWANAUME NDIYE ATAMTONGOZA MWANAMKE .... full stop...!!!!
Kwa sababu haupo handsome.

Ungekuwa handsome and sexy like me (half luguru, half meru) ungetongozwa tu na madada ambao huwezi kuwasusia. Siyo kwa ishara bali kwa maneno na anakupitia na mchuma wake!!

Chezeya dijitali weyee!!!
 
wtf.... hata 10% ya uhandsome wangu huna.... & my brain too....u can only have perhaps 10% of my everything.....
...I*m very tall.. mwiraq...halfcast...a Pilot... very very handsome....aircraft engineer too.... PGM
champions 10yrs back.... ww kwangu sawa na MWALIMU NA MWANAFUNZI WA VIDUDU... afu una minyoo ww ascaris no doubt.... KUNA LUGURU
HANDSOME & sexy..... jiite anti luguru kama unangojea kutongozwa....NA MWANAUME ACHA KUPENDA PENDA KUTONGOZWA.... automatically utageuka SHOGA.... maana umezoea kutongozwa na vya bure....UTALIPA NA NN WW....!!?? hiiii too low.
...gat tht pus***

QUOTE=Kobello;6680996]Kwa sababu haupo handsome.

Ungekuwa handsome and sexy like me (half luguru, half meru) ungetongozwa tu na madada ambao huwezi kuwasusia. Siyo kwa ishara bali kwa maneno na anakupitia na mchuma wake!!

Chezeya dijitali weyee!!![/QUOTE]
 
jaribu kuwa nae karibu mambo yatajiseti yenyewe ila funga nae ndoa sio tamaa ya kuzini naye sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom