Nimetokea kumpenda huyu kaka

Nimetokea kumpenda huyu kaka

LAKI

Senior Member
Joined
Jun 12, 2013
Posts
100
Reaction score
37
Habari wana jf, hivi karibuni nimejiunga na kwaya, kuna kaka mmoja nimetokea kumpenda lakini nashindwa nianzie wapi kumwambia yaliyo ndani ya moyo wangu. Hebu nipeni ujuzi wana jf, mwanamke unaanzaje kumwambia mwanaume unampenda, natamani tuwe tu marafiki wa kawaida wa kuchart not otherwise, sasa nitumie njia gani kumwambia, wote ni viongozi kwenye jumuiya lakini dah nashindwa pa kuanzia.
 
du!kama una roho ngumu jikaze na ufunguke umwambie,japo kwa sisi waafrika haijazoeleka kumuanza mwanaume kumwambia unampenda,mana kama mwanaume ana uelewa mdogo atakuona malaya na umejiunga kwaya ili kumnasa yeye na si vinginevyo.
 
kwanini unashindwa kumwambia? Unahisi ukimwambia nini kitatokea?
Unaogopa akuone malaya? unaogopa atakataa ombi lao? au nini hasa?
 
toka shetani, au kwaya ya TOT nini ila kama ya kuhubiri neno inili na kumwimbia mungu, ushindwe katika jina la yesu

sasa unasema ashindwe kwa jina la yesu, kwani wachumba huwa wanapatikana wapi kama sio kwenye social gathering!!!!!!!!!!!au wewe ungependa akatafute mchumba club au bar?kuna kosa gani mtu kumpenda mwana kwaya mwenzie jamani?
 
Yaani wote mnafanya kazi ya mungu harafu unataka kumtumbukiza mwenzio kwenye dhambi ya Uzinifu?na ndio umeanza kwaya tu ..usimtie mwenzio majaribuni

Ama wataka future husband lol
 
du!kama una roho ngumu jikaze na ufunguke umwambie,japo kwa sisi waafrika haijazoeleka kumuanza mwanaume kumwambia unampenda,mana kama mwanaume ana uelewa mdogo atakuona malaya na umejiunga kwaya ili kumnasa yeye na si vinginevyo.

Na ndicho ninachoogopa, mbaya zaidi anategemea kufunga ndoa miezi michache ijayo.
 
Na ndicho ninachoogopa, mbaya zaidi anategemea kufunga ndoa miezi michache ijayo.

wewe!kumbe ana mchumba na anataraji kufunga ndoa?mi nilifikiri yuko single bwana? eeeeeee achana nae shost muombe mungu akupe wako atakayekupenda na wewe kumpenda na hatimaye ndoa.

ji keep bize acha kumuwazia kabisa mana akijua inaweza kuwa aibu na pia anaweza kukutangaza mana tayari ana mchumba wake hivo hata ona shida kukuanika, na mwishowe kwaya ikawa chungu,achana nae muombe mungu akupe wako!
 
Na ndicho ninachoogopa, mbaya zaidi anategemea kufunga ndoa miezi michache ijayo.
Jaribu kuanza kwa kuongelea mambo mengine tu, then pol pole muulize what he thinks about wanawake wanao jitokeza kwa wanaume. Unaeweza shangaa akakwambia hana shida na hilo, au anaweza kusema it's a turn of, in which case itabidi umtumie ujumbe kwa ishara mbali mbali.
 
sasa unasema ashindwe kwa jina la yesu, kwani wachumba huwa wanapatikana wapi kama sio kwenye social gathering!!!!!!!!!!!au wewe ungependa akatafute mchumba club au bar?kuna kosa gani mtu kumpenda mwana kwaya mwenzie jamani?
kanisani kuna taratibu zake ila huyo yupo ki- uzinzi zaidi, kama huamini anza kuimba kwaya uone watu wanavyo gegedana
 
Nahisi hiyo kwaya ni ya TOT na anayesemwa hapo ni captain Komba....teh teh tehhh...kweli mapenzi upofu...ni mtazamo tu jaman
 
Habari wana jf, hivi karibuni nimejiunga na kwaya, kuna kaka mmoja nimetokea kumpenda lakini nashindwa nianzie wapi kumwambia yaliyo ndani ya moyo wangu. Hebu nipeni ujuzi wana jf, mwanamke unaanzaje kumwambia mwanaume unampenda, natamani tuwe tu marafiki wa kawaida wa kuchart not otherwise, sasa nitumie njia gani kumwambia, wote ni viongozi kwenye jumuiya lakini dah nashindwa pa kuanzia.

Mwite sehemu ya faragha halafu chojoa viwalo vyootee...............!
Tena siku hiyo vaa kiwalo kinacho chojoka kwa urahisi na pia sahau kuvaa kufuli ....................!
 
habari wana jf, hivi karibuni nimejiunga na kwaya, kuna kaka mmoja nimetokea kumpenda lakini nashindwa nianzie wapi kumwambia yaliyo ndani ya moyo wangu. Hebu nipeni ujuzi wana jf, mwanamke unaanzaje kumwambia mwanaume unampenda, natamani tuwe tu marafiki wa kawaida wa kuchart not otherwise, sasa nitumie njia gani kumwambia, wote ni viongozi kwenye jumuiya lakini dah nashindwa pa kuanzia.


  • acha uongo na unamdanganya nani?
  • toka lini urafiki wa kawaida huwa una hofu ndani yake?
  • sema ukweli kwamba unataka kuzini naye.
  • kumbuka mshahara wa dhambi ni mauti.
  • mwombe mungu akuwezeshe kushinda hiyo kiu kali ya kugegedwa na huyo kaka.
 
Habari wana jf, hivi karibuni nimejiunga na kwaya, kuna kaka mmoja nimetokea kumpenda lakini nashindwa nianzie wapi kumwambia yaliyo ndani ya moyo wangu. Hebu nipeni ujuzi wana jf, mwanamke unaanzaje kumwambia mwanaume unampenda, natamani tuwe tu marafiki wa kawaida wa kuchart not otherwise, sasa nitumie njia gani kumwambia, wote ni viongozi kwenye jumuiya lakini dah nashindwa pa kuanzia.

Unasali kwa Mwingira nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom