Nimetokea kukupenda Sana

Nimetokea kukupenda Sana

hahaha Aiseeee
Mkuu sasa hii njia unafikiri hitasidia hata kidogo?
Sasa utasaidiwa vipi?
Mkuu kama ni akanana wangu unaye muongelea hapa na kuhakishia utapotea kwenye hili jukwaa!life ban ina kuhusu

Kama ni yeye na kushauri ufute huu uzi!

Kila la kheri!

Nahisi hii njia inaweza kusaidia kidogo maana KILA NJIA NILIYOJARIBU KUITUMIA KUMFIKISHIA UJUMBE HAIJAFANIKIWA mara nyingi anakuwa yuko online lakini hataki kuwasiliana na mimi .LABDA AKIJA HUKU AKIKUTANA NA HUU UJUMBE ANAWEZA KUBADILIKA
 
SAYANSIKIMU nimeshakuulizaga kit kimoja............!
Chili somo bado linafundishwaga darasani kwa kipindi hiki cha ufisadi kutanda????
 
Last edited by a moderator:
Ewe ------- uvumilivu umenisha nimeamua kukuambia wazi kabisa ya kwamba ninakupenda.Muda mwingi nimekuwa nakufuatilia nakufanya mambo mbalimbali ili uniweke moyoni mwako lakini sijafanikiwa .Na sasa hivi nimekuwa kero kwako hutaki kabisa kuongea na mimi.Mrembo--------ina maana wewe unachukia kupendwa? Kwa nini unanifanyia hivi? mbona unanifanyia mbona mwanzoni tulikuwa tunazungumza vizuri tu kwa kipindi hiki unanifanyia hivi sio vizuri hivyo mimi nakupenda ,nakufuatilia ,nakufikiria lakini nakushangaa mwenzangu kama vile huna mpango na mimi kuwa na huruma basi nifikiriefikirie basi ewe mrembo----- kama mimi navyo kufikiria hakika mimi nakupenda naomba na wewe unipende kama kunasehemu nilikuuzi nisamehe kwa kweli ------ nakupenda sana.Nimesita hata kukutaja nisije nikazidi kukuuzi zaidi ukani report abuse nikapigwa banned .LAKINI NAAMINI UJUMBE WANGU UTAKUWA UMEUPATA .naomba tusameheane na tuuboreshe uhusiano wetu.Nakutakia jioni njema-------
Cc Dinazarde
 
Last edited by a moderator:
Ewe ------- uvumilivu umenisha nimeamua kukuambia wazi kabisa ya kwamba ninakupenda.Muda mwingi nimekuwa nakufuatilia nakufanya mambo mbalimbali ili uniweke moyoni mwako lakini sijafanikiwa .Na sasa hivi nimekuwa kero kwako hutaki kabisa kuongea na mimi.Mrembo--------ina maana wewe unachukia kupendwa? Kwa nini unanifanyia hivi? mbona unanifanyia mbona mwanzoni tulikuwa tunazungumza vizuri tu kwa kipindi hiki unanifanyia hivi sio vizuri hivyo mimi nakupenda ,nakufuatilia ,nakufikiria lakini nakushangaa mwenzangu kama vile huna mpango na mimi kuwa na huruma basi nifikiriefikirie basi ewe mrembo----- kama mimi navyo kufikiria hakika mimi nakupenda naomba na wewe unipende kama kunasehemu nilikuuzi nisamehe kwa kweli ------ nakupenda sana.Nimesita hata kukutaja nisije nikazidi kukuuzi zaidi ukani report abuse nikapigwa banned .LAKINI NAAMINI UJUMBE WANGU UTAKUWA UMEUPATA .naomba tusameheane na tuuboreshe uhusiano wetu.Nakutakia jioni njema-------

Hii ni mada ya kipuuzi kabisa. Haya ni mambo yako binafsi. Hayatuhusu.
 
ebhanee!, jamaa kafunguka.haya wewe mdada-------muone huruma mwana wa mwenzio.kumbuka hicho kidude ulipewa bure na mola.sio vizuri kumnyima binadamu mwenzii.
 
a.rahabu najua huwezi kuamini lakini ukweli ndo huo mrembo ------------- tuliyekutana nae kwenye lile jukwaa kashanikataa.Najua wewe ni rafiki yake basi nakuomba utupatanishe kati yangu na ------- Kwa Kuwa Wewe Ni Rafiki Yake Labda Anaweza Kukusikiliza Nisaidie Kutupatanisha Please.
 
Last edited by a moderator:
hahahaaaaaaaaaaaaa mkuu ulipotea nauliza ingawa najua hayanihusu
Hahahahahaha
Heaven on Earth hii ndio raha ya jf, huyu jamaa ni wa pekee na comment yake huwa ni hiyo hiyo!
Kwakweli huwa ana niacha hoi!
Am happy is back..........
 
Last edited by a moderator:
Hivi utampendaje mtu usie muona? Hamjawahi kukutana na wewe kichwa juu juu eti nakupenda.

This is ridiculous
 
a.rahabu najua huwezi kuamini lakini ukweli ndo huo mrembo ------------- tuliyekutana nae kwenye lile jukwaa kashanikataa.Najua wewe ni rafiki yake basi nakuomba utupatanishe kati yangu na ------- Kwa Kuwa Wewe Ni Rafiki Yake Labda Anaweza Kukusikiliza Nisaidie Kutupatanisha Please.
Hahaha naona umeamua kutumia silaha nyingine.
 
Last edited by a moderator:
hahaha Aiseeee
Mkuu sasa hii njia unafikiri hitasidia hata kidogo?
Sasa utasaidiwa vipi?
Mkuu kama ni akanana wangu unaye muongelea hapa na kuhakishia utapotea kwenye hili jukwaa!life ban ina kuhusu

Kama ni yeye na kushauri ufute huu uzi!

Kila la kheri!

Hee tena?
 
Back
Top Bottom