Hawa walibaka kweli,na sababu kubwa ni mambo ya kishirikina,mganga aliwadanganya wakitembea na vitoto vidogo nyota yao kimuziki ingeng'aa.. zaidi.acheni kutafuta mchawi..walifanya huo ufirauni wakijua kuwa sheria za bongo ziko loose au wangehonga mahakimu na kesi ingeisha juu kwa juu..wazoee tu maisha ya jela,rais hawezi samehe wabakaji eti kisa wao walikua watu maarufu.
Kila mtu atasema lake lakini ukweli anaujua mwenyezi mungu na wahusika,ila kama wameonewa basi waliowaonea hawatotia kichwa kaburini bila kuonja adhabu kwakutendea wenzao mabaya.....
Aliachwa huru
kwanini na yeyw hakufungwa kuunganisha watoto hawa wakanajisiwe ni kosa sawa na la wanajisi tu there is something fishy about this case aisee
Na kwa nini walimuhukumu maisha mdogo wake papii under age maisha na baadaye kumuachia hii kesi ilikaa kigumashi na hakim alitoa hukumu kwe shinikizo. Wameonewa bana. Kapuya anabaka wanapotezea. Ulimboka wanapindisha. Wafanya biashara wa mahenge wameulia in cold blood wamepindisha eti jaji bila aibu alisema muuaji yupo atafutwe. Wewe ukitonesha vidonda vya wake na vimada wao unakula maisha nyuma ya nondo
Mungu pia atawasaidia watoto wadogo wasio na hatia waliowaambukiza ukimwa..shenzy kabisa wale WACONGO wacha waozee jelaa.. Kama Mahakama ya Rufaa ilivyoamuruDu mungu atawasaidia
Mwalimu aliachiwa kwa sababu alitumika kama shahidi kwa upande wa JamhuriLowasa hakusema atawatoa, lowasa aliujibu umma ulipopiga kelele "na babu seya" alijibu nimewasikia.
Jibu la lowasa pia linaacha udadisi.
Lakin swali la msingi kama walikutwa na kosa la kubaka, mwalimu aliepeleka watoto kubakwa kwanini aachiwe, naomba mnaokumbuka hii kesi mje mtuambie hapa nini kilitokea?
Hawa watoto walitoa ushahidi murua mahakamani.Mimi sikuwapo lakini ukisikia simulizi za waliokuwapo unaweza lia maana nasikia watoto walikuwa wakieleza kinagaubaga unyama waliofanyiwa na hao washitakiwa.Fahamu pia kuwa huwezi kumbambikia mtu kesi halafu mashahidi wako wakawa ni watoto wadogo maana hawa huwezi kuwafundisha kutoa ushahidi wa uongo mahakamani ukafanikiwa kwani kuna mahali watateleza tu wakibanwa kwa maswali hivyo kuwafanya watuhumiwa wasitiwe hatiani. Kwa mtizamo wangu makini kuna kila dalili kuwa hawa jamaaa ni kweli waliwamega hawa watoto hivyo wacha waendelee kufurahia matunda ya dhambi yao hii.
Hawa watoto walitoa ushahidi murua mahakamani.Mimi sikuwapo lakini ukisikia simulizi za waliokuwapo unaweza lia maana nasikia watoto walikuwa wakieleza kinagaubaga unyama waliofanyiwa na hao washitakiwa.Fahamu pia kuwa huwezi kumbambikia mtu kesi halafu mashahidi wako wakawa ni watoto wadogo maana hawa huwezi kuwafundisha kutoa ushahidi wa uongo mahakamani ukafanikiwa kwani kuna mahali watateleza tu wakibanwa kwa maswali hivyo kuwafanya watuhumiwa wasitiwe hatiani. Kwa mtizamo wangu makini kuna kila dalili kuwa hawa jamaaa ni kweli waliwamega hawa watoto hivyo wacha waendelee kufurahia matunda ya dhambi yao hii.
huwa nimeshindwa kuufahamu ukweli
hivi yule mama mwalimu aliyekuwa anawaunganisha wanafunzi na babu seya kama inavyosemekana alifungwa na yeye?