Nimetoka kumuona Msela jela

Nimetoka kumuona Msela jela

Hawa watoto walitoa ushahidi murua mahakamani.Mimi sikuwapo lakini ukisikia simulizi za waliokuwapo unaweza lia maana nasikia watoto walikuwa wakieleza kinagaubaga unyama waliofanyiwa na hao washitakiwa.Fahamu pia kuwa huwezi kumbambikia mtu kesi halafu mashahidi wako wakawa ni watoto wadogo maana hawa huwezi kuwafundisha kutoa ushahidi wa uongo mahakamani ukafanikiwa kwani kuna mahali watateleza tu wakibanwa kwa maswali hivyo kuwafanya watuhumiwa wasitiwe hatiani. Kwa mtizamo wangu makini kuna kila dalili kuwa hawa jamaaa ni kweli waliwamega hawa watoto hivyo wacha waendelee kufurahia matunda ya dhambi yao hii.

uliwasikia kwa masikio yako hao watoto wakiojiwa na kutoa ushahidi mahakamani!!?
 
Hivi kwa katiba hii kuna ukomo wa kukata rufaa?Ahadi kama hizi zinatekelezeka hata ukishindwa urais kama kweli unadhamira.Hivi Edo aliahidi kuwatoa sababu ya umaarufu wao tu au sababu anaamini walibambikiwa kesi?

Mahakama ya rufani ndio hatua ya mwisho kwwnye rufaa.
 
Mahakama ilimuachia mwalimu kwakuwa haukuwepo ushahidi wa kutosha kuhusiana na hicho alichotuhumiwa nacho lakini wakawahukumu kina babu seya baada ya kujiridhisha bila shaka yoyote kwamba walitenda hayo makosa

Bullshit
 
uliwasikia kwa masikio yako hao watoto wakiojiwa na kutoa ushahidi mahakamani!!?

mkuu mzaramo jitahidi kusoma kwa makini maandishi husika kabla ya kuuliza swali. Ungenisoma vizuri usingeuliza hili swali!
 
mkuu mzaramo jitahidi kusoma kwa makini maandishi husika kabla ya kuuliza swali. Ungenisoma vizuri usingeuliza hili swali!

Mkupuo tatizo unakurupuka, ulitakiw utafute kumbukumbu za hiyo kesi mbona zipo tena haswa kwenye ushahidi wa hao watoto(sheria inataka ushahidi kama ule wa mtoto alie chini ya umri, usio na kiapo, lakin pia wa yule asie jua jukumu la kuongea ukweli uwekwe katika kumbukubu) (for technical reasons) ulikua huna haja ya kutueleza nini unacho hisi au kufikiri wala unachokisikia kwa watu... Njoo hapa na ishu kamili mkuu
 
Tafuta nakala ya hukumu ya mahakama ya kwanza kuisikiliza kesi na zilizofuata za rufani ili uondoe sintofahamu badala ya kusikiliza mamneno ya mitaani

Mkuu umeongea point. Nashangaa watu wanaongea blah blah tu wakati hata hawajui mwenendo wa hiyo kesi ulikuwaje.
 
Apana chezea Mundende bamutu ya Kongo banaujua ni balaa....Hawa jamaa wangeacha kuzungukuka Mbuyu, wasitafute haki kutoka kwa hao watoto kama kweli wanajua hawakutenda kosa. Weka Ukweli hadharani waandishi wa habari wakiwa pale, Kesho yake waupakue kwenye magazeti Mchezo ujulikane. Waache kulialia hiyo rufaa yao ndio chance ya Mwisho..Wasipo sema Ukweli hali itarudi vilevile,
 
Alikuwa anawaunganisha kwa minajiri ipi??yaani analipwa pesa au kivpi...sijaielewa
Hali ya kawaida mmama tena mwalimu awaunganishe vitoto vya 6yrs_8yrs kubakwa....
Nielekeze my dia ...

amu;
Usitumie neno la kistaarab pasipo na ustaarab. Hakuwa ana waunganishia...alikuwa anawakuwadia. Yaani, alikuwa anapewa yeye fweza, awatume dukani, waende kuwapoozesha hao wahusika huko vyumbani mwao. Mwalim anajua kilichokuwa kikiendelea kule. Hivyo yeye akavifanya vile vitoto bidhaa ya kuwauzia Babu Seya na wanawe hao vijogooo. Aibu ni mzazi kufurahia wanao na weye kuufanya huo ufirauni.
Simchukii mtu, ila nauchukia ufirauni. Hakimu aliye waweka walipo, nampongeza. Huyo mwalim aliyeamua kuwa shahidi nampongeza. Waacheni hao wakae walipo, huko ndo kuna vitu hivyo. Mbona wanapachukia?? Wapazoee tuuu
 
Wanamuunga mkono Babu Seya na ulioleta uzi huu ni " watoto si riziki" naona mmemiss mpingo wa Babu Seya. Semeni tuwaonyesheni kwingine mkatolewe hamu. Fankuuuro
 
Back
Top Bottom