Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,294
- 108,317
Hakuna swali halina jibu, muulize tu
Haya sasa. Yaani ilibaki kidogo nikuulize umemficha wapi.
Haya sasa. Yaani ilibaki kidogo nikuulize umemficha wapi.
Na alivyo sakayo atasikiliza majibu yako, mie akija tena kulialia eti umemsusa nitakuwa nakunywa chai yangu ya tangawizi taratiiibu huku nikisikiliza gospel.















Kwani nawe unampango wa kukufa mkwe?Hahahaah...dah
AiseeeAlijibu. Ni visingizio tu kama kenya.
Ongeza mahari kwanza ndio tuelewane.Hapa mkwe sina aiseee...
Haya unayasema nipo, je nikiwa sipo?








Kumbuka nilikuwa mdogo wake kabla hata wewe haujazaliwa hivyo umenikuta tayari mie ni mama yako mdogo, narudia wewe na adabu yako mshikane.acheni ujingaa, huyu jael sijui anampango gani na mimi kutaka kupeperusha ndege wangu, anataka nife single
Sent using Jamii Forums mobile app
EeeehhhhhOngeza mahari kwanza ndio tuelewane.
Mweeeeh!! Hapa sina mtotoAuntie sio vizuri ujue



Teh. Umeanza kuingilia na ya wakubwa.
Hahahahahah
Umesahau ile sifa ya majieani zako ile ilisambaa dunia nzima? Mkatuharibia sifa ya nchi


Mweeeeh!! Hapa sina mtoto
Inabidi tufute yalopita tuanze upyaaaaa, mahari nitawaambia kesho asubuhi.











Na alivyo sakayo atasikiliza majibu yako, mie akija tena kulialia eti umemsusa nitakuwa nakunywa chai yangu ya tangawizi taratiiibu huku nikisikiliza gospel.
Kumbuka nilikuwa mdogo wake kabla hata wewe haujazaliwa hivyo umenikuta tayari mie ni mama yako mdogo, narudia wewe na adabu yako mshikane.
Halafu ukafufuka!! Kumbe ubishi umeanza siku nyingiHuko nyuma nishawahi jikarantini hadi jeiefu wakaweka uzi eti nimeresti in pisi



Teh. Umeanza kuingilia na ya wakubwa.
Mmmmmmh!! Haiwezekani.Hivi unajua mimi wa juzi....umri ushasogea basi tu najitoa ufahamu hapa
Sent using Jamii Forums mobile app