Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,290
- 108,312
Viguu na njia wakati wanajua malaika mtoa roho anapita pita bila formula...
Sasa unataka nani akutane na izraili?
Sasa unataka nani akutane na izraili?
Teh teh dogo shika adabu yako mie mama yako mdogo ujue, tena usije ukanitibua nikakuchapa sasa hivi maana inaonekana mama yako alishindwa kukulea hadi kupelekea kufanya kila aina ya uhuni chini ya jua.
Kumbe ni weweeeeee!! Bichwa lako kama mapapai yenye korona

Mmmmh!!!
Oooiii
Hapo sawa na kagari ka kwendea kanisani?Una kiwanja chako kwenye urithi mkwe...
Hahaha
Nyoko sake kaongea na mods nikala ban hili aje ajisifu ...Mzee wa kukojoza katika ubora wake ....In Hornet voice
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawaza hapa baba yako ni nani?
Kumbe ni weweeeeee!! Bichwa lako kama mapapai yenye korona
Oooh shukrani kwa ufafanuzi, haya mambo yenu vijana magumu sana.
Ushindweeee!Viguu na njia wakati wanajua malaika mtoa roho anapita pita bila formula...
JamaaaaanniiiiiRule number one, never kiss and tell
Rule number two, refer to rule number one

Hapo sawa na kagari ka kwendea kanisani?
Malimao na tangawizi haiwezekani korona yenyewe inakufa.Hahaha...
Speaking of mapapai, mzee katuharibia aisee...
Banda langu pa mafenesi na mapapai saa hii watu wanalipitia mbali kama wameona kinyesi...
Sasa mara paaap malimao na tangawizi nazo zitajwe kwenye list
Akijibu niitenani anakuficha ??



acheni ujingaa, huyu jael sijui anampango gani na mimi kutaka kupeperusha ndege wangu, anataka nife single
Teh teh dogo shika adabu yako mie mama yako mdogo ujue, tena usije ukanitibua nikakuchapa sasa hivi maana inaonekana mama yako alishindwa kukulea hadi kupelekea kufanya kila aina ya uhuni chini ya jua.
Jamaaaaanniiiii
Unajua nitakununia mimi my![]()
nafanya mpango nijikarantini naweUgali mtamu ndugu...huu sio umri wa kukutana na izraili...
Sisi wengine hatuwezi kuvaa mavitu puani aisee



nahisi we unaweza, mie sivai hizo ndude na nazurura kama kawa. We jitoe tu ufahamu walah nitakufufua. Alokwambia sina Biblia na kitabu cha nyimbo nani?Sasa hivi misa ni za nyumbani...
Biblia itakutosha na kitabu cha nyimbo
Nyoko sake kaongea na mods nikala ban hili aje ajisifu ...