Nimetoa boko wakuu

Nimetoa boko wakuu

Hahaha...

Speaking of mapapai, mzee katuharibia aisee...

Banda langu pa mafenesi na mapapai saa hii watu wanalipitia mbali kama wameona kinyesi...

Sasa mara paaap malimao na tangawizi nazo zitajwe kwenye list
Kumbe ni weweeeeee!! Bichwa lako kama mapapai yenye korona

Oooh shukrani kwa ufafanuzi, haya mambo yenu vijana magumu sana.
 
Hahaha...

Speaking of mapapai, mzee katuharibia aisee...

Banda langu pa mafenesi na mapapai saa hii watu wanalipitia mbali kama wameona kinyesi...

Sasa mara paaap malimao na tangawizi nazo zitajwe kwenye list
Malimao na tangawizi haiwezekani korona yenyewe inakufa.
 
acheni ujingaa, huyu jael sijui anampango gani na mimi kutaka kupeperusha ndege wangu, anataka nife single
Teh teh dogo shika adabu yako mie mama yako mdogo ujue, tena usije ukanitibua nikakuchapa sasa hivi maana inaonekana mama yako alishindwa kukulea hadi kupelekea kufanya kila aina ya uhuni chini ya jua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ugali mtamu ndugu...huu sio umri wa kukutana na izraili...

Sisi wengine hatuwezi kuvaa mavitu puani aisee
nahisi we unaweza, mie sivai hizo ndude na nazurura kama kawa.

Mengine tunamuachia Mungu tu hamna aliyekuja kulinda dunia sote tunapita, unaweza usife kwa corona ila ukafa kwa ajali ya gari huku umevaa barakoa yako usoni.
 
Back
Top Bottom