Franky
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 2,272
- 2,858
Don't take life too serious, you won't make it alive.Kwa binti anaye comment kwa kushangilia au kusupport nyuzi Kama hii,hata siwezi jihangaisha kumtokea kwa sababu anaonesha wazi ni Mwanamke asiyefaa kama Mke makini anayejitambua.
kwa watu kama mimi huwa ni waoaji na sio wapitaji basi nikiona binti anasupport hapa ni kama ameshaji punguzia credi ya kuwa Mke,na siwezi mtokea kamwe.





