Nimetoa boko wakuu

Nimetoa boko wakuu

we hata ukizeeka zaa tu mama wala usiogope, siyo watoto wote wa uzeeni wako hivyo.

Lakini inawezekana labda karithi kutoka kwa baba yake
Kweli kabisa hizi akili za baba yake kabisaaa. Kanda ya ziwa hatuna hizi gene.
 
Kweli kabisa hizi akili za baba yake kabisaaa. Kanda ya ziwa hatuna hizi gene.
Mwee yaani unakandia kabisa, ama kweli namuonea huruma shemeji yangu maana hana mke hapa.

Kwani we umesahau mtoto akiharibika kosa ni la mama, inatakiwa umuombee asirithi tabia za baba yake incase baba ni mti mti.
 
Mwee yaani unakandia kabisa, ama kweli namuonea huruma shemeji yangu maana hana mke hapa.

Kwani we umesahau mtoto akiharibika kosa ni la mama, inatakiwa umuombee asirithi tabia za baba yake incase baba ni mti mti.
Halafu nimekumbuka wala hana baba ujue!!
 
Back
Top Bottom