Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,202
Kweli kabisa hizi akili za baba yake kabisaaa. Kanda ya ziwa hatuna hizi gene.we hata ukizeeka zaa tu mama wala usiogope, siyo watoto wote wa uzeeni wako hivyo.
Lakini inawezekana labda karithi kutoka kwa baba yake![]()





