sir isaac newton alikuwa professor rasmi akiwa na miaka 26, hivyo hakuwa na muda hata wa kulala na kutafuta wanawake. (source:wikipedia na quora)unajua vipi kama alikufa bila kuonja papuchi au ni tafiti ipi imetumika hapo mkuu?
dah! aisee hakika alikuwa ni mwanaharakati wa aina yake yaani maisha yake aliyatoa kweli kweli anajiumiza kujinyima usingizi kusudi kufanya mambo ambayo mpaka sasa dunia inatumia laws zake kutengeneza vitu vikubwa.sir isaac newton alikuwa professor rasmi akiwa na miaka 26, hivyo hakuwa na muda hata wa kulala na kutafuta wanawake. (source:wikipedia na quora)
da tunapiti wakati mgumu sanaHakuna aliye wahi kujizuia kutofanya mapenzi kama mimi maana nanzingira niliyolelewa ni yadini sana jumlisha ma maonyo mengi. Tangu nazaliwa mpaka nakimbilia miaka 30 sasa sikuwahi kugusa uchi wa mwanamke mungu ananiona kama nadanganya na nimekuja kuonja mwaka huu mwezi 1. Lakini hata mchumba niliye mpata ananibania tangia hapo hajanipa papuchi tena eti mpaka tuoane basi me nabaki kumuangalia tu maana miaka yote hiyo me naona akininyima ni sawa na maisha niliyokuwa naishi hapo kabla. Hapo ndipo naamini mwenye huruma hana bahati. Mkuu sio wewe tu kwa miaka hiyo 9. Wapo ambao wamezidisha zaidi yako au yangu. DUNIA IMEFICHA MENGI
Akikushirikisha unishirikishe na mimiTushirikishe mbinu ulizotumia
Hahaaaa. Nimecheka sana rafiki.hongera sana, mie nina nusu saa tu toka nimeacha....
Shujaa wa mashujaa rafiki.Wewe shujaa kweli