Nipo hapa sasaUmetsha sana mkuu
bro ile idea ya ile app vp umefika wapNilikua nataka sema hongera kwa kuja na game, ila kuona hii reply umenichekesha sana, acha kutudanganya mtanzania. Language yako na game engine yako mwennyewe ndo kitu gani? Unajua effort inayohitajika kutengeneza a full blown language ya kuweza kurun kwenye game engine na ikaproduce a fully working game kweli? na unajua effort inayohitajika kwenye kutengeneza a fully working game engine? Either ni ya kiloko sana au we ni time traveler from the future imekuchukua miaka mingi sana kutengeneza.
Mkuu mbona unatupotezea muda? naona unahamisha magoli tena!!Mwanangu unafanya nijikubali sana kwa maana imekuwa ngumu sana kuamini izo code nimeandika mimi. Kama unahisi nime copy embu nionyeshe wapi nime copy?
Mbona kasema kufika level 3 ni kazi sanaNimeona mkuu Sema so vibaya kwa level ya degree kufanya haya kibongo bongo inaonesha hakukariri darasani...!! Japo ni game za zamani na kitoto sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni ninja up, tetris, danger dash au version mpya ya Super mario?Duu kweli safari bado ngumu...... Usiende kwa nguvu ya ndumu..... View attachment 1421436
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi.Hahah yes mkuu, tunaanza from zero tutafika tu, next game litakuwa na advanved graphics
Hii ni level 3?
Vitabu ni vingi sana vilivyonisaidia, nna pdf books zaidi ya 1000, lakini video za youtube na majibu ya stackoverflow ndio yamenisaidia zaidi. Labda uwe specific vitabu vya programming kwa upande upi? Game programming or?Hack embu nitoe jina la kitabu kimoja cha programming ulicho jifunza kikakusaidia sana