Nimetengeneza game nakuliweka Play Store

Ivi unajua kuna zaidi ya maelfu ya programming languages? Zote unazijua? Napia kila siku kuna new frameworks zinatengenezwa? Game Engine is just a graphics, physics and sound framewok. Na kutengeneza a new language ni kutengenezea tu compiler. Kwa TZ sio vitu popular but kwa nje ni vitu vya kawaida sana. Siwez kwambia inaitwaje na technolojia yangu ikoje ad nkiweka kuwa open source.

Haha nafahamu kuna languages elfu kadhaa, najua vizuri pia game engine zikoje, usidhani naongea kama newbie nimekua kwenye hii industry toka hujaanza hata primary school, na nipo nje sio hata Tanzania kwa hiyo usidhani naongea juu juu tu, nimefanya kazi na big companies unazozisikia leo unaziogopa kama Google na Apple usidhani naropoka tu, kabla sijaingia kwenye web an mobile app development nilikua system software engineer, graphics engines ni moja ya vitu nilivyoanza navyo kabisa kwenye my career zamani sana. Sio kitu cha kawaida dunia nzima kutengeneza game engine na language nzima then ukatumia kutengeneza a fully functioning game na features zote ported to a mobile OS na inafanya kazi 100% ni kazi ngumu na ndiyo maana zipo chache. Unaongelea kutengeneza compiler utadhani ni kuandika barua microsoft word? hahaha daganya toto, labda kama unatengeneza compiler ya kuhesabu namba ila a full blown language yenye features za kutengeneza hilo game uliloweka store sio kitu cha siku moja, rendering engine peke yake tu takes a crazy amount of time kutengeneza, uiport ikubali kwenye android, uweke vitu kama collision detection haha acha kuota ndoto za mchana dogo. Weka hiyo code github tuone.

Subiri nitoke kazini nitapakua apk yako ni-reverse engineer nitaona kila kitu kilichomo ndani so kama umetumia popular engine nitajua tu, na hiyo language yako uliyotengeneza umeiport vipi kukubali kwenye android OS? tuanzie hapo kwanza, au share hata snippet ya hiyo compiler uliyoandika tuone maana nishatengeneza compiler najua vizuri how they are made.
 
Nimetengeneza game nakuliweka Play Store, ni game gumu kwa atakayeweza fika kuanzia level ya 3 na kuendelea atume screenshot.
Liko Play Store only, search Pixelpunk
Pixelpunk - Cyberpunk Platformer - Apps on Google Play

Lini mtakuwa wakweli,
Yani unacopy na kupest gamecode harafu unakuja sema umetengeneza game..
Shame shame sana...

Na mengine yanakupongeza.

All in all mwanzo mzuri,One day utatengeneza chako from the scratch.
 
Haha nafahamu kuna languages elfu kadhaa, najua vizuri pia game engine zikoje, usidhani naongea kama newbie nimekua kwenye hii industry toka hujaanza hata primary school, na nipo nje sio hata Tanzania kwa hiyo usidhani naongea juu juu tu, nimefanya kazi na big companies unazozisikia leo unaziogopa kama Google na Apple usidhani naropoka tu, kabla sijaingia kwenye web an mobile app development nilikua system software engineer, graphics engines ni moja ya vitu nilivyoanza navyo kabisa kwenye my career zamani sana. Sio kitu cha kawaida dunia nzima kutengeneza game engine na language nzima then ukatumia kutengeneza a fully functioning game na features zote ported to a mobile OS na inafanya kazi 100% ni kazi ngumu na ndiyo maana zipo chache. Unaongelea kutengeneza compiler utadhani ni kuandika barua microsoft word? hahaha daganya toto, labda kama unatengeneza compiler ya kuhesabu namba ila a full blown language yenye features za kutengeneza hilo game uliloweka store sio kitu cha siku moja, rendering engine peke yake tu takes a crazy amount of time kutengeneza, uiport ikubali kwenye android, uweke vitu kama collision detection haha acha kuota ndoto za mchana dogo. Weka hiyo code github tuone.

Subiri nitoke kazini nitapakua apk yako ni-reverse engineer nitaona kila kitu kilichomo ndani so kama umetumia popular engine nitajua tu, na hiyo language yako uliyotengeneza umeiport vipi kukubali kwenye android OS? tuanzie hapo kwanza, au share hata snippet ya hiyo compiler uliyoandika tuone maana nishatengeneza compiler najua vizuri how they are made.
Hahah unabisha ata bado huja decompile my apk?
 
Mimi style yangu ya programming sipendi kutumia tools, libraries na frameworks za watu wengine, ndio maana nawekeza mda mwingi kutengeza za kwangu mwenyewe, cuz zinanipa freedom yakufanya chochote kile
Utadanganya wajinga tu ambao hawajui programminng, hakuna developer asiyetumia tool ya mtu mwingine, hata assembly language imetengenezwa na mwingine so kama umetengeneza compiler lazima umetumia language tofauti kwanza kama C (most popular) au C++ then language ikiwa full ndiyo unanitumia language yenyewe kutengeneza its own compiler. That's how things have always been. Sasa danganya wajinga humu wasiojua programming.
Kama kila kitu unataka kutengeneza mwenyewe anza kwenye transistors, tengeneza a fully working CPU, unnga kila kitu hadi upate a working computer bila hivyo unatudanganya tu hata kutunza data kwenye RAM unatumia drivers zilizoandikwa na mtu mwingine. Go lie to ignorant people man.

Sipendi kuona developers mnaojifanya on top of the world kua mnajua sana badala ya kua positive sema ukweli wenzako waige wafanye kitu muwe wengi sio mnakaa kujifanya super devs, umetoka sayari gani mzee?
 
Lini mtakuwa wakweli,
Yani unacopy na kupest gamecode harafu unakuja sema umetengeneza game..
Shame shame sana...

Na mengine yanakupongeza.

All in all mwanzo mzuri,One day utatengeneza chako from the scratch.
I made it from scratch. View my source code af nambie wapi nime copy. Ongea kwa evidence.
 
Utadanganya wajinga tu ambao hawajui programminng, hakuna developer asiyetumia tool ya mtu mwingine, hata assembly language imetengenezwa na mwingine so kama umetengeneza compiler lazima umetumia language tofauti kwanza kama C (most popular) au C++ then language ikiwa full ndiyo unanitumia language yenyewe kutengeneza its own compiler. That's how things have always been. Sasa danganya wajinga humu wasiojua programming.
Kama kila kitu unataka kutengeneza mwenyewe anza kwenye transistors, tengeneza a fully working CPU, unnga kila kitu hadi upate a working computer bila hivyo unatudanganya tu hata kutunza data kwenye RAM unatumia drivers zilizoandikwa na mtu mwingine. Go lie to ignorant people man.

Sipendi kuona developers mnaojifanya on top of the world kua mnajua sana badala ya kua positive sema ukweli wenzako waige wafanye kitu muwe wengi mnakaa kujifanya super devs, umetoka sayari gani mzee?
Sijamaanisha ndio kila kitu ad umeme nimegundua mimi. Just nmesema sipend kutumia tools za watu wengne. Yani ni kama companies like facebook au google wanatumia frameworks zao. Take it easy. Mbona kama unaumia sana?
 
I made it from scratch. View my source code af nambie wapi nime copy. Ongea kwa evidence.


Mkuu sitaki kukuharibia,na nimekupa ushauri ila kwa haraka haraka nimeona wewe nibkilaza wa hali ya PHD.

Si bure,
Nikuulize simple Question..
Nia Language gani umetumia..!?
Then tutaendelea na mengine
 
Sijamaanisha ndio kila kitu ad umeme nimegundua mimi. Just nmesema sipend kutumia tools za watu wengne. Yani ni kama companies like facebook au google wanatumia frameworks zao. Take it easy. Mbona kama unaumia sana?
Siumii chochote tena not on this discussion, style yangu ya kuandika tu izoee.
Facebook na Google wanatumia frameworks zao ila sio 100% ni more like 50% nyingi wameziopen source zinapokea contribution toka kwa developers dunia nzima. Narudia tena nimefanya kazi na big companies, sijawahi deal na Facebook ila nimedeal na Google, lakini wote wanafanya the same thing, ukiingia Facebook language wanazotumia ni zilezile made by other people, C, C++, Php(dying), JavaScript, wamejaribu kufanya improvements to these languages ndiyo ila ni open contribution toka kwa devs dunia nzima, that's how software is made. Same for Google, siku hizi wanajitahidi kutumia Golang lakini ujue yenyewe pia ni openn source project japo ni made by Google employees, inapokea contributions worldwide.

The reason ni simple, when it comes to software development most of the times nothing beats open source na hakuna anayependa kure-invent the wheels, kitu kama kishatengenezwa na kinafanya kazi vizuri hakuna haja ya kukifix, facebook walijaribu kufix php sababu it was shit, super slow na buggy, google walijaribu kutengeneza Javascript engine sababu javascript on the browser has always been slow haikuweza ku-keep up na exponential development kwenye hardware side. Sasa wewe unajifanya unakuja na tools zako mwenyewe kusolve tatizo lipi hasa? em nitajie jina la algorithm hata moja uliyotumia kwenye rendering system yako tujue. Tatizo unatudanganya
 
Siumii chochote tena not on this discussion, style yangu ya kuandika tu izoee.
Facebook na Google wanatumia frameworks zao ila sio 100% ni more like 50% nyingi wameziopen source zinapokea contribution toka kwa developers dunia nzima. Narudia tena nimefanya kazi na big companies, sijawahi deal na Facebook ila nimedeal na Google, lakini wote wanafanya the same thing, ukiingia Facebook language wanazotumia ni zilezile made by other people, C, C++, Php(dying), JavaScript, wamejaribu kufanya improvements to these languages ndiyo ila ni open contribution toka kwa devs dunia nzima, that's how software is made. Same for Google, siku hizi wanajitahidi kutumia Golang lakini ujue yenyewe pia ni openn source project japo ni made by Google employees, inapokea contributions worldwide.

The reason ni simple, when it comes to software development most of the times nothing beats open source na hakuna anayependa kure-invent the wheels, kitu kama kishatengenezwa na kinafanya kazi vizuri hakuna haja ya kukifix, facebook walijaribu kufix php sababu it was shit, super slow na buggy, google walijaribu kutengeneza Javascript engine sababu javascript on the browser has always been slow haikuweza ku-keep up na exponential development kwenye hardware side. Sasa wewe unajifanya unakuja na tools zako mwenyewe kusolve tatizo lipi hasa? em nitajie jina la algorithm hata moja uliyotumia kwenye rendering system yako tujue. Tatizo unatudanganya
Nimepata funzo kubwa sana kupitia post zako hongera mkuu
 
Siumii chochote tena not on this discussion, style yangu ya kuandika tu izoee.
Facebook na Google wanatumia frameworks zao ila sio 100% ni more like 50% nyingi wameziopen source zinapokea contribution toka kwa developers dunia nzima. Narudia tena nimefanya kazi na big companies, sijawahi deal na Facebook ila nimedeal na Google, lakini wote wanafanya the same thing, ukiingia Facebook language wanazotumia ni zilezile made by other people, C, C++, Php(dying), JavaScript, wamejaribu kufanya improvements to these languages ndiyo ila ni open contribution toka kwa devs dunia nzima, that's how software is made. Same for Google, siku hizi wanajitahidi kutumia Golang lakini ujue yenyewe pia ni openn source project japo ni made by Google employees, inapokea contributions worldwide.

The reason ni simple, when it comes to software development most of the times nothing beats open source na hakuna anayependa kure-invent the wheels, kitu kama kishatengenezwa na kinafanya kazi vizuri hakuna haja ya kukifix, facebook walijaribu kufix php sababu it was shit, super slow na buggy, google walijaribu kutengeneza Javascript engine sababu javascript on the browser has always been slow haikuweza ku-keep up na exponential development kwenye hardware side. Sasa wewe unajifanya unakuja na tools zako mwenyewe kusolve tatizo lipi hasa? em nitajie jina la algorithm hata moja uliyotumia kwenye rendering system yako tujue. Tatizo unatudanganya
Aya ngoja nkuonyeshe syntax za language yangu, na source code za compiler yake. Ubishi uishe
Untitled.jpeg
Untitled2.jpeg
 
Back
Top Bottom