Nimetengeneza game nakuliweka Play Store

Nimetengeneza game nakuliweka Play Store

Si wengine code tunajifunzia ukubwani tena baada ya watu wa networking kutakiwa kujua code,tulizikimbia chuo hapa nina mpango wa kujua language mbili tu Python na Golang.Python basic mpaka advance technique nishazijua bado nitafute kaproject kadogo nikafanye.Mwakani nianze na Golang.
 
Si wengine code tunajifunzia ukubwani tena baada ya watu wa networking kutakiwa kujua code,tulizikimbia chuo hapa nina mpango wa kujua language mbili tu Python na Golang.Python basic mpaka advance technique nishazijua bado nitafute kaproject kadogo nikafanye.Mwakani nianze na Golang.
With python fanya web crawling and make your own search engine ya websites za east africa
 
Vitabu ni vingi sana vilivyonisaidia, nna pdf books zaidi ya 1000, lakini video za youtube na majibu ya stackoverflow ndio yamenisaidia zaidi. Labda uwe specific vitabu vya programming kwa upande upi? Game programming or?
[/QUOTE
No sio za game nataka za kuhack
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom