SAM94
Member
- Dec 12, 2018
- 27
- 13
Mimi huwa nabeti jackpot ya sport pesa tu basi..
Ukisikia mtu kapiga ile mil 700 ujue ni mimi uje nikupe kazi ya kuogesha zizi la mbuzi
😀😀😀 sawa bana
Mimi huwa nabeti jackpot ya sport pesa tu basi..
Ukisikia mtu kapiga ile mil 700 ujue ni mimi uje nikupe kazi ya kuogesha zizi la mbuzi
Mkuu Wall street msimu wa ligi kuu unaanza rasmi leo kwa Liverpool na Norwich City kufungua pazia la ligi. Tafadhali usisahau kuendelea kutupia tips hapa. Kumbuka sote adui yetu ni mmoja tu---Kanjibai. Aluta continua.
Hongera mkuu, mimi had app zote za betting nimefuta, baada ya kugundua nakula hasara tu, nimeacha kubet, ila wewe sasa kama unanishawishi
Maisha rahisi kweli.
Mnaosema Betting haifai Mna suggest kitu gani kifanyike ila kuboresha maisha ya vijana? Tukalime? Ok Mazao gani? Tukafanye Biashara? Ok Biashara gani ya Mtaji wa laki ikakupa hata Elfu 20 per day? Asilimia kubwa ya wanaobeti ni Masikini walioamua kujiajiri kwa njia hiyo! Maana yake kwingine panahitaji mitaji mikubwa mfano leo hii ukiwa na Milioni 10 Mtaji Hakuna Biashara yoyote utakayoifanya ikaingiza Laki 5 faida kwa siku! Ila ukibadilisha kwa kubet Milioni 10 upate faida Laki 5 ni odd 1.05 Ila kwa Hali halisi ni vijana wangapi Tanzania Hii wenye Milioni 5 tu za Mitaji ya Biashara?? Ila kubeti inahitaji Buku tu! Piki piki inauzwa Milioni 2 ila kipande kwa siku ni 10k na ikumbukwe risk pia ipo tena kubwa, pikipiki inaweza ikapata ajali ikafa pamoja na dereva , inaweza ikiporwa, sasa hv kuna mvua inaweza ikaingia mimaji ikafa ikitokea hvyo unakuwa umelost 2M kwa kutafuta buku 10 per day ila kubeti ukiweka 20k ukatafuta odd 1.50 unapata 30k faida 10k kama mwenye boda boda tofauti yake wewe umetumia vidole tu ba bundle kuipata 10k mwenzio kaungua na jua mchana kutwa halafu Leo hii unanishauri niache kubeti wanaofilisika hawana nidhamu ya Biashara
[/Biashara Broh nisaidie namba yako ase
aloo nimechukua ela ya bia kisa nimepita tu sehemu na nlikuwa na elfu hamsin mfukoni daaah nikaona ela yangu ya bia itazama nikaweka buku
mbill nikala shs sabin ndio imeniweka mpaka now kitaa nipo likizo, LEO LIGI INGEKUWEPO NINGEKANDAMIZA MILION NILE TATU, MAISHA YA KIHUNI NA UNA FAMILIA NI YA KINYAMWEZI SANA, elfu sabin kwa buku mbil wazeee
Sent from my iPhone using JamiiForums
Stake 900 odds maelfu we hatariiNimekula milioni 11View attachment 1083040
mkuu hii ki2 unafanyajeNimekula milioni 11View attachment 1083040
Naona unataka kutapeli watu.Nimekua mtu wa kubet hapa na pale kwa muda mrefu bila mahesabu, yaani sijui napoteza kiasi gani wala napata kiasi gani.. Mwaka ulipoanza nikaamua nifanye kiufasaha kidogo, nikajipa miezi minne ni detail kila kitu, nijue napoteza au napata kiasi gani kwa muda huo..
Tar 1 January nikadeposit 500,000 kwenye account yangu nikaiandika kama debt mahali., nikaja na formula yangu, nafanya analysis kabla mechi hazijaanza lakini nakuja kuzibetia zikiwa live in play kutokana na trend itavyokwenda..
Nikaanza kuona mafanikio, ile laki 5 nikafanikiwa kuirejesha ilhali Nina pesa kwenye account yangu, nikatafuta safe deposit(sanduku la chuma) ambalo nikiwa naweka pesa zote ambazo nakua nime withdraw nikishinda, yani naweka zote sitoi ata hela ya bia kwenye hela niliyo withdraw...
Kuna ups and downs, kuna kipindi pesa kwenye account inaisha najikopesha tena naweka bila kugusa hela ya kwenye sanduku, wiki Jana nilifanikiwa kujilipa madeni yote niliyojikopesha, na kufanya deposit kwenye sanduku langu nikabaki na 473,000 kwenye account ambayo yote nimeipoteza
The thing is I feel like my game have been down this week and I decided to call it a day, sheria kubwa ya gambling inasema 'know when to walk away' and i feel its time.. Nimepanga sitabet tena mpaka ligi zianze august
Leo nimevunja sanduku langu na kupata ina kama 15.6M.... Nimesha draft plan ya kuifanyia 15M hii laki 6 ngoja nipambane na hii weekend kwanza
Hizi ni baadhi za bets za April tu maana nimeshindwa kuleta za kuanzia jan huko ingekua kazi kubwa, nimeleta Uzi huu nadhani kuna mtu anaweza jifunza kitu hapa, be responsible with your hard earned money, hakikisha you keep your records
Na hawa wazee hawana utani mwezi March niliweka M1 timu moja wakapita nayo
Betting is addictive be careful, bet what you can afford to lose....
Umekandamiza mechi gani hizo mkuu? Mbona ligi zote duniani zimefutwa zimebaki ligi chenga tu?aloo nimechukua ela ya bia kisa nimepita tu sehemu na nlikuwa na elfu hamsin mfukoni daaah nikaona ela yangu ya bia itazama nikaweka buku
mbill nikala shs sabin ndio imeniweka mpaka now kitaa nipo likizo, LEO LIGI INGEKUWEPO NINGEKANDAMIZA MILION NILE TATU, MAISHA YA KIHUNI NA UNA FAMILIA NI YA KINYAMWEZI SANA, elfu sabin kwa buku mbil wazeee
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umekandamiza mechi gani hizo mkuu? Mbona ligi zote duniani zimefutwa zimebaki ligi chenga tu?
Kama ni hivyo basi sawa mkuu maana mimi naishiaga kwenye football tu, hasa ligi kubwa.....hockey na michezo mingine huwa sigusi.nilicheza ice hookey mbil na match za mexico jna u20 kina santos laguna na club america nilishau kupiga picha mkuu, me hadi ice hookey nachezaga ilimradi hela iingie, betting is fun
Sent from my iPhone using JamiiForums