That is a a rule of thumb that is followed and obeyed by everybody here. Any new advice?I only stake what I can afford to lose.
I avoid two things in this industry; obsession and addiction .That is a a rule of thumb that is followed and obeyed by everybody here. Any new advice?
There you are sir. Most people fail to deal with the mentioned situations, which are very hard to contain. Thanks to the help offered by covid-19 this soccer calendarI avoid two things in this industry; obsession and addiction .
.There you are sir. Most people fail to deal with the mentioned situations, which are very hard to contain. Thanks to the help offered by covid-19 this soccer calendar
Kivipi umetengeneza mkuuMi nmetengeneza 5.5M online ndani ya miezi mi4 sijawekeza,chochote zaidi ya bando tuu ambalo halizidi hata 100k
Bwana luamboMkuu tupo pamoja mm nimeanza kubet tangu 2013, nimetoka tz nipo huku Europe nabet kupitia bet365, betway
Nakulaga ma euro tu Ila kuliwa Siku zingine kawaida
Bongo huwa nilikuwa natumia premier BET Ile ya kubetia kwenye mashine unapata tickets za karatasi baadae ukila unaenda ofis Zao Ku withdraw
Bet Ni nzuri ukiwa na malengo
Kiyaje mkuu? Tuelekeze nasi tukapige hela chief.Mi nmetengeneza 5.5M online ndani ya miezi mi4 sijawekeza,chochote zaidi ya bando tuu ambalo halizidi hata 100k
Luambo Luanzo Makiadi
Ukiwa Europe game za Africa betting yake mkeka kuchanika impossible saana kuliko team za ulaya imagineKiyaje mkuu? Tuelekeze nasi tukapige hela chief.
Pamoja sana chief!Ukiwa Europe game za Africa betting yake mkeka kuchanika impossible saana kuliko team za ulaya imagine
Una bett unampa
Simba
Gormahia
Kaiza chief
Mamelod
Pryamid
Alhly
Hapa probability ya kuchanika mkeka ndogo sana
kwa mwezi una uhakika wa kuingiza mil 6.4Mimi huwa nabet timu3@1.12=1.4,stake 2mil.=2800000,profit 800000,nabet mara2 tu kwa wiki(jmos&j2)=1600000,Option yangu ni "CLEN SHEET NO"kwa team mbovu.this season nimeliwa mara1 tu(lvpool alipigw3-0)..last season sikuliwa hata mara moja.