Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,154
, Sema ina changamoto zifuatazo.ile ni guarantee winnings unashinda kabla game haijaanza point ni kwamba mara nyingi timu kubwa zenye washabiki mara nyingi wanazipa odds ndogo hata kama hali halisi sio hivyo...
tukichukua timu kama Barcelona ilienda mwaka huu game nane bila kushindwa na hio ndio ilikuwa kubwa kwa wakati huo kwa ligi zote tano kwa msimu huu
✌✌
Girona ✅
Leganés ✅
Eibar ✅
Getafe ✅
Celta ✅
Levante ✅
Espanyol ✅
Villareal ✅
With today’s win, that’s 8 in a row!
Longest winning streak for Valverde, and longest current winning streak in Europe's top five leagues!#ForçaBarça
— FC Barcelona (@FCBarcelona) January 27, 2019
Mechi inayofuata ikawa against valencia ikawa Draw...
am sure hapo kuna games alikuwa anapewa odds za kipuuzi kabisa.., moral of the story mara nyingi ukubwa wa timu unapelekea kupewa odds za kipuuzi kuliko uhalisia, na kwenye mpira favourites wana-draw mara nyingi kuliko maelezo
1) Low yield or High capital required.
Hapa unaona kua return per day ni approximately 5%. Kwamba ukiweka stake ya laki 1 utapata tuseme 5,000/= faida. Ili upate zaidi inabid uwe na mtaji mkubwa. 1mil stake utapata faida 50,000/=
2) Transaction Cost. Sijajua ku deposit hela kwenye kampuni yako utatumia njia gani isiyo na makato. Ki bongo bongo (default) sio makato kivile. Hapa pia namaanisha tuseme umecheza kampuni 3 tofauti na ulioshinda ni kampuni "B". Sasa ukitaka kubet tena kesho yake na stake kubwa unataka uiweke kampuni "A" itabidi uhamishe hamishe hapo.
3) Kodi. Kama yield ni ndogo basi pale inapokua taxed ndio inazidi kupungua zaidi. Makampuni ya nje hayana kodi, lakini wengi tumezoea kubeti kwenye haya yaliyoko hapa nchini. Na yenye kodi yaweza kua na odds ndogo.
4) Kupata Maximum odds. Ile website uliyoweka inatoa suggestions ya kampuni za nje, je odds zilizoonyeshwa pale zaweza kupatikana kwenye local companies na zika maximize profit?
5) Kubadilika kwa odds. Kuna makampuni yamekaa kitapeli. Odds unayoiona pale eti ukiwekea bet ndo wanakuambia imebadilika.
All in all ni strategy nzuri kwa wenye mtaji, coz at any point you must win