Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

cheki hapo juu kuna link nimetoa ya oddsportal kuna suggestions wanatoa za sure bets kila wiki bure..., ukishaona kabala haujafurahia kwamba umepata a gold mine nistue pia hapa hapa nikwambie even this though theoretically ni true ila na yenyewe ina hatari zake kubwa tu...,

mfano cheki hapo

1X21X2Profit
Premier League
03/05
14:00
Yenisey - FK Anzi Makhackala
1.65

4.40

7.80
4.0%

https://www.oddsportal.com/sure-bets/

Jamaa yako alisema nikimwonyesha popote pale atanipa 100K tangu jana nimemuonyesha nashangaa bado kimya sijui hajaona
Wall street
Sasa hii site mbona siona Kama inatabirii..
 
Kuna watu wanafanya kazi, but mafanikio zero, mungu amekupa akili, zitumie kupata kipato..unajua uzito wa 15M
Rafiki hata zingekuwa Na uzito kiasi gani in wa muda! Kama Mungu kakupa akili gundua vitu endelevu Na kwa jamii. Sio kamari
 
Sasa hii site mbona siona Kama inatabirii..
hio site haitabiri bali ina-compare odds za bookmakers wengi ambao wanatoa odds nzuri, kumbuka ina matangazo ya book makers pia ina refer wateja wajiunge na hao bookmakers kwahio kwa kupitia kwao mteja akienda wanakula commission kila bookmakers wanapopata pesa na kila mtu anapojiunga (affiliate program)

Ila hapa point ya kuweka hii site ni kuwaonyesha jamaa kuwa arbitrage / sure bets inawezekana.., kwamba unaweka wagers kwenye matokeo yote Draw, Win, Loose na ukifanikiwa kuweka una guarantee ya kushinda no matter the case...,

ingawa practically even hii ina downsides
 
Nimekua mtu wa kubet hapa na pale kwa muda mrefu bila mahesabu, yaani sijui napoteza kiasi gani wala napata kiasi gani.. Mwaka ulipoanza nikaamua nifanye kiufasaha kidogo, nikajipa miezi minne ni detail kila kitu, nijue napoteza au napata kiasi gani kwa muda huo..

Tar 1 January nikadeposit 500,000 kwenye account yangu nikaiandika kama debt mahali., nikaja na formula yangu, nafanya analysis kabla mechi hazijaanza lakini nakuja kuzibetia zikiwa live in play kutokana na trend itavyokwenda..

Nikaanza kuona mafanikio, ile laki 5 nikafanikiwa kuirejesha ilhali Nina pesa kwenye account yangu, nikatafuta safe deposit(sanduku la chuma) ambalo nikiwa naweka pesa zote ambazo nakua nime withdraw nikishinda, yani naweka zote sitoi ata hela ya bia kwenye hela niliyo withdraw...

Kuna ups and downs, kuna kipindi pesa kwenye account inaisha najikopesha tena naweka bila kugusa hela ya kwenye sanduku, wiki Jana nilifanikiwa kujilipa madeni yote niliyojikopesha, na kufanya deposit kwenye sanduku langu nikabaki na 473,000 kwenye account ambayo yote nimeipoteza

The thing is I feel like my game have been down this week and I decided to call it a day, sheria kubwa ya gambling inasema 'know when to walk away' and i feel its time.. Nimepanga sitabet tena mpaka ligi zianze august

Leo nimevunja sanduku langu na kupata ina kama 15.6M.... Nimesha draft plan ya kuifanyia 15M hii laki 6 ngoja nipambane na hii weekend kwanza

Hizi ni baadhi za bets za April tu maana nimeshindwa kuleta za kuanzia jan huko ingekua kazi kubwa, nimeleta Uzi huu nadhani kuna mtu anaweza jifunza kitu hapa, be responsible with your hard earned money, hakikisha you keep your records

Na hawa wazee hawana utani mwezi March niliweka M1 timu moja wakapita nayo

Betting is addictive be careful, bet what you can afford to lose....
Kuna rafiki angu anapiga pesa sana kwenye zile slot machine za mchina , nataka nimuombe anifundishe
 
cheki hapo juu kuna link nimetoa ya oddsportal kuna suggestions wanatoa za sure bets kila wiki bure..., ukishaona kabala haujafurahia kwamba umepata a gold mine nistue pia hapa hapa nikwambie even this though theoretically ni true ila na yenyewe ina hatari zake kubwa tu...,

mfano cheki hapo

Premier League
1X21X2Profit
03/05
14:00
Yenisey - FK Anzi Makhackala
1.65

4.40

7.80
4.0%

https://www.oddsportal.com/sure-bets/

Jamaa yako alisema nikimwonyesha popote pale atanipa 100K tangu jana nimemuonyesha nashangaa bado kimya sijui hajaona
Wall street
Hebu nieleweshe hapo kuna guarantee gani ya kupata faida??? Toa maelezo acha Ku C&P
 
Hebu nieleweshe hapo kuna guarantee gani ya kupata faida??? Toa maelezo acha Ku C&P
1083887
1556527246614.png


Mkuu mbona kila kitu nimekupa hizo odds
1.65; win kampuni coobet
4.4 draw leon na
7.80 loose leon

percentage hapo inazidi 100 % ukibet kuna profit ya Units approximately 4; Kama una tshs 100 inabidi uigawe ifuatavto:-
63 kwenye win
23 draw
13 Loose
umeelewa
 
Siwezi kuacha kubeti aisee, wala sioni haramu kama wengine wanavyosema,maisha yenyewe ni betting tosha ,mtu leo mzima lakini hujui keshokutwa kama utakufa ama vipi? Tunaishi kwa imani tu! I' m fearless at all.dah nakumbumbuka nasubiria gemu moja nivute milioni 14 na fc basel mpaka dakika ya 60+:anaongoza 1-0.taratibu naanza kuingia be forwaded showroom naangalia gari zuri la kudraive, huku dakika zinayoyoma ,kufika dakika ya 81 watu wanasawazisha na ikaenda droo mpaka mwisho.betting hatari sana.
 
Siwezi kuacha kubeti aisee, wala sioni haramu kama wengine wanavyosema,maisha yenyewe ni betting tosha ,mtu leo mzima lakini hujui keshokutwa kama utakufa ama vipi? Tunaishi kwa imani tu! I' m fearless at all.dah nakumbumbuka nasubiria gemu moja nivute milioni 14 na fc basel mpaka dakika ya 60+:anaongoza 1-0.taratibu naanza kuingia be sait za showroom naangalia gari zuri la kudraive, huku dakika zinayoyoma ,kugika dakika ya 81 watu wanasawazisha na ikaenda ndroo mpaka mwisho.betting hatari sana.
Hahaaa!!
 
kwa kufikiri uku hebu nipe sababu tano kwanini NSIKUITE MBWA..
1.) Nikisuka kikapu chenye thamani ya shs.500/= maana yake nimezalisha na kuongeza uchumi kwa 500/=
2.)Nikifanya kibarua cha 10,000/= kwa siku maana yake nimezalisha na kuongeza uchumi kwa10,000/=
Sasa je, we umezalisha bidhaa au huduma ipi katika uchumi wa taifa? The question is only as stupid as you are
 
cheki hapo juu kuna link nimetoa ya oddsportal kuna suggestions wanatoa za sure bets kila wiki bure..., ukishaona kabala haujafurahia kwamba umepata a gold mine nistue pia hapa hapa nikwambie even this though theoretically ni true ila na yenyewe ina hatari zake kubwa tu...,

mfano cheki hapo

Premier League
1X21X2Profit
03/05
14:00
Yenisey - FK Anzi Makhackala
1.65

4.40

7.80
4.0%

https://www.oddsportal.com/sure-bets/

Jamaa yako alisema nikimwonyesha popote pale atanipa 100K tangu jana nimemuonyesha nashangaa bado kimya sijui hajaona
Wall street
Hapa sijakuelewa,
Nilidhani unaweka Bookie mmoja ambae Yenisey kapewa Odds nyingi kisha unaweka na Bookie mwengine ambae Anzhi kapewa odds nyingi, au mfano wako hauko hivyo? Nachoelewa hii kitu ni almost haipo, sababu odds zote unazoziona hawa bookies hawajitungii tu, primarily ni kama zinatokea from same source, ndio maana hata kupishana kwao ni kidogo
 
hao
"Wilson Raj Perumal (born 31 July 1965) is a convicted Singaporean match-fixer.
Perumal is accused on several match fixing scandals, including Asiagate in 2007–2009 and the 2008–2011 Finnish match-fixing scandal. He was first jailed for match-fixing in 1995 in Singapore.[3] In the same year, Perumal traveled to England on behalf of a Singaporean match-fixing boss to fix two FA Cup matches. According to his autobiography, Perumal and an associate attempted to bribe Birmingham's goalkeeper Ian Bennett and Chelsea's goalkeeper Dmitri Kharine, failing both times.[4]"https://en.wikipedia.org/wiki/Wilson_Raj_Perumal

Unaongelea match fixing ? hivi mpaka umuonge mtu / timu it means wewe unaweka dau la juu.., pili kuna bots in place wakiona pesa nyingi imekwenda sehemu fulani tofauti na odds wanafaya investigation ni nani na kwanini kaweka dau kama hilo na ana uhusiano na nani..., hio ni moja pili match fixing sio betting ni criminal activity ambayo kama ukishinda sio betting tena sababu probability na odds zipo at your favour...
hao ndo wanaume ...na had sasa yupo....sio wajinga kama wew...wana bet kwa bookmakers wa asia ambako sportrader hawafiki..
na hao nimekutajia maamuma kama wewe ili uki google uwapate....na wengi huwajui mkolomije weweee
 
1.) Nikisuka kikapu chenye thamani ya shs.500/= maana yake nimezalisha na kuongeza uchumi kwa 500/=
2.)Nikifanya kibarua cha 10,000/= kwa siku maana yake nimezalisha na kuongeza uchumi kwa10,000/=
Sasa je, we umezalisha bidhaa au huduma ipi katika uchumi wa taifa? The question is only as stupid as you are
Uchumi hautengenezwi na Bidhaa tu, usikariri. Kwani Bureau De Changes wanauza bidhaa gani? Hizo stakes tunazobet zinafanya makampuni yanapata faida na kulipa kodi.

Pili makampuni hayo yanaajiri wafanyakazi kupitia hizo stakes tunazobet nazo. Wafanyakazi hao hulipwa mishahara ambayo huitumia kuendeshea maisha yao na familia zao.

Tatu, kupitia stakes zetu, makampuni haya huweza kupanga majengo kwa ajili ya ofisi, hulipa kodi ya majengo ambayo wenye nyumba hutumia mapato hayo kwa shughuli zingine za ki uchumi.

Nne mikeka ikiwin, nakatwa kodi sawa sawa labda na mfanyakazi anaekatwa PAYE.

Multiplier Effect ya kubet ni kubwa kuliko unavyodhani.
 
Uchumi hautengenezwi na Bidhaa tu, usikariri. Kwani Bureau De Changes wanauza bidhaa gani? Hizo stakes tunazobet zinafanya makampuni yanapata faida na kulipa kodi.

Pili makampuni hayo yanaajiri wafanyakazi kupitia hizo stakes tunazobet nazo. Wafanyakazi hao hulipwa mishahara ambayo huitumia kuendeshea maisha yao na familia zao.

Tatu, kupitia stakes zetu, makampuni haya huweza kupanga majengo kwa ajili ya ofisi, hulipa kodi ya majengo ambayo wenye nyumba hutumia mapato hayo kwa shughuli zingine za ki uchumi.

Nne mikeka ikiwin, nakatwa kodi sawa sawa labda na mfanyakazi anaekatwa PAYE.

Multiplier Effect ya kubet ni kubwa kuliko unavyodhani.
Sijasema bidhaa tu, nimesema bidhaa au huduma, ndio maana nikatolea mfano wa kibarua, mtu anaefanya kibarua ni anatoa huduma yake kwa malipo, wewe vipi wewe, maneno meeengi kumbe hata hujasoma nilichoandika
 
Back
Top Bottom