Maarifa
JF-Expert Member
- Nov 23, 2006
- 4,568
- 2,913
Kamari laanakama wanashinda kuna ubaya gani?
kama wanaliwa huo ni ujinga wao
Kamari laanakama wanashinda kuna ubaya gani?
kama wanaliwa huo ni ujinga wao
Mkuu inbox kuna msg yako plsTena Mkubwa sana!!! Na wanaouziwa wanakuaga mayumbu kweli
HahahahahHakuna yenye unafuu
Nilishabet hadi draw dk 5 na bado ikapasuka...kikubwa ni timing tu na machale ya hali ya juu,game ukishaitilia shaka achana nayo
Hahahaa..Sawa mkuu mi ni tapeli, je pesa yangu ingeenda ungeniitaje?
Mkuu unaongea point sana, watakuelewa wachache sana.Unajua maana ya long term loss ?, akiendelea betting no matter the system within next 5 years or less atakuwa amewapa hio 15M na zaidi hata akiwapa tuseme 14M faida ya 1M kwa muda wote huo kama sio time wastage ni nini ?
Kumbuka hapa hafanyi kama leisure kama mtu anavyokunywa bia na kuburudika hapa yeye ni biashara (investment to gain profit);
Kama mtu unabet lazima umuelewe mwana...!! kanji sio poaa aiseee... anakulaa pesaaa zakee alizokupa na za kwakoo piaaaMkuu unaongea point sana, watakuelewa wachache sana.
Labda wengine ni baada ya muda mrefu watakuja kukuelewa.
HahahhhaGood!!
Hhahaha...Noma sana asee...Hata mtu ukila kwa muda fulani, utakuja kuliwa muda fulani...unaweza jikuta umpigwa au ngoma Droo.Kama mtu unabet lazima umuelewe mwana...!! kanji sio poaa aiseee... anakulaa pesaaa zakee alizokupa na za kwakoo piaaa
Kama unaniheshimu basi meza Kama lilivyo Nina taarifa kutoka vyanzo vyangu sahihi kabisa vya habari toka ndani sana ya simba.mkuu nakuheshimu sana. unaweza thibitisha hilo?
Husifikiri local mkui.. Unajua kwamba ligi kuu Tanzania bara kupitia kampuni moja ya Eastern Europe yenye wawakilishi wake hapa bongo inaruhusu kubet game za ligi kuu Tanzania bara na unaruhusiwa kustake hadi million 50 per single bet ya bongo. Did you know that!?Huu ni uongo Mkubwa sana!!!
Kuna betting limit kwenye hizi ligi ndogondogo hasa huku africa , sidhani kama kuna kampuni wanapokea hata milioni moja kwenye hizi ligi za east Africa per single bet, wanalimit sana
Afcon iliyopita ulikua huwezi kubet zaidi ya 235,000/= kwa single bet kwenye hizi kampuni ya kibongo!! Makampuni yote makubwa duniani yana betting limits kwenye ligi ndogo ndogo Ku avoid match fixing,unakuta huwez kubet zaidi ya dola 200
Mfano ndugu zangu yanga wanavyotembeza bakuli na wachezaji kulalamika hawalipwi afu kama kampuni uruhusu bets za M100 unadhani nini kitatokea?
MO ni muislamu safi,HabetiMo kwenye game ya simba na as vita aliweka million 100 in a single bet.
Boss kwenye betting kuna vitu vingi mno, ambavyo kma sio mtu wabet ningum sna kuvielewa.Hakuna uzuri katika utapeli na wizi. Tujikite katika shughuli za uzalishaji mali na huduma ili kukuza na kuimarisha uchumi wa taifa letu, kuchezea rasilimali muda kuhamisha pesa kutoka mkono wa kushoto kwenda wa kulia hakuongezi chochote kwenye kapu la taifa.
unaona sasa mkeka umechanika!!Sijawahi cheza magoli mkuu ni direct win pekee ila upepo ulikaa wiki kama mbili mfululizo ila ilipoingia ile international break kwamba Mataifa yanacheza mechi za urafiki nikaendelea kucheza weeee! Hapo ndo show ilipogeuka nikapaniki ndo nikapotea zaidi.
Kuhusu mbinu mimi huwa naangalia form ya mechi 5 za home team akiwa away.
Yani mfano leo Manchester united - chelsea
Naangalia form ya mechi tano za united alipokua away kuna trend naangalia si rahis kukuelekeza kwa hapa ila mfano hii gemu mimi nimeiona kuwa chelsea anashinda.