Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 12,571
- 19,631
Yes no matter the results...Nimekuelewa hapa,
Kwa hiyo ukiweka total 1,000,000/= stake unapata faida 40,000/= approximately
Tatizo ni kwamba odds zinabadilika badilika sana unawaza kuweka laki tatu huku ukija kuweka kwenye laki sita unakuta odds zimebadilika.., ingawa kuepuka hio kwanza unaanza kwenye zile odds ambazo sio za kawaida kuepuka kuungua... Hii ndio wataalamu wanaita Sure Bets au Arbitrage