muuza ugoro
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 334
- 61
Hadithi hadithiiiiii.????
Acha izo,aisee wewe na huyo demu wakareee! mlitumia kinga kweli au kavu kavu?
Unafikiri kuna kinga tena hapo??? Kitu asili tu!!! Na ndivyo watu wanavyokufa kirahisi namna hii.aisee wewe na huyo demu wakareee! mlitumia kinga kweli au kavu kavu?
Kwakweli hamna adabu kabisa.
Shukuru hukukutwa lasivyo ungeshabatizwa jina lingine.
Sasa subiri kuambiwa ana ujauzito wako.
Hongera sana aisee. Ungeendele nae tu kwani ni nini?
Hongera sana aisee. Ungeendele nae tu kwani ni nini?
Ina maana hii story umeilewa komando?
Kwangu naona ni fiction tu!
Yaani chap chap ushamgegeda
Tena toilet.. ni hamu au kitu gani; ninyi noma
Kuumbe..!!rapport ilikuepo tayar siku nyingi,ni kama tulikua tunasubir tu mda,bt sijapenda kwa kweli kilichotokea
aisee wewe na huyo demu wakareee! mlitumia kinga kweli au kavu kavu?