nimetembea na demu wa mshkaji

nimetembea na demu wa mshkaji

mwananthropolojia

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2012
Posts
956
Reaction score
658
nimezoeana sana na demu wa rafiki yangu na mpaka leo ni marafiki wakubwa yeye na bwana wake,kuzoeana huko ilifika hatua bila mimi yule binti hafanyi kitu,akitaka kutoka lazima aniite,akitaka kusindikizwa sehemu bwana wake hayupo natafutwa mimi,mpaka jamaa akaanza kusema mi natembea na demu wake au nampenda demu wake. mana demu kutwa kucha lazima aniongelee akiwa na mshkaji,mi mshkaji kuniuliza nikakana kwani sikuwahi kutembea nae na nilikua najiamini siwez kufanya kitu kama hicho kwa mshkaji.

ila siku ya siku wakati nimeenda kumtembelea bwana wake akiwa sebuleni na washkaji wengine nae alikuepo jikoni. wakati naenda chooni kurudi nakutana nae korido, tukawa tumesimama tunaongea tukiwa tumekaribiana. sijui akili yangu ilihamia wapi katika sekunde chache tu nilivyomuangalia mdomoni nikapatwa na hamu ya kumkiss na hapohapo nikajikuta tunanyonyana ndimi haikuchukua mda nikawa nishamvua chupi yule binti chooni wakat bwana wake yupo sebulen wakipata maji ya dhahabu

baada ya kile kitendo nikawaza sana nikaona nichague moja urafiki au yule binti.nikaamua kuchagua rafiki kuanzia siku hiyo namuepuka binti kua nae karibu ingawa mwenyewe anajarb kujisogeza zaidi kwangu

jamani nifanyeje huyu binti ananisumbua? je niache kuwa rafiki yao ?
 
aisee wewe na huyo demu wakareee! mlitumia kinga kweli au kavu kavu?
 
nawewe kidume kutwa kucha kumsindikiza shemejiyo kwani hana marafiki wengine khaa au naww huna shughuli za kufanya kutwa kiguu na njia na wapenzi wa watu,achana na mpenzi wa watu inamaana ww huna wa kwako au ndo wale wale maharage ya Mbeya.:coffee:
 
nawewe kidume kutwa kucha kumsindikiza shemejiyo kwani hana marafiki wengine khaa au naww huna shughuli za kufanya kutwa kiguu na njia na wapenzi wa watu,achana na mpenzi wa watu inamaana ww huna wa kwako au ndo wale wale maharage ya Mbeya.:coffee:

sina mkuu
 
debe tupu haliachi kutika

waweza kuta ni bwabwa lina-fantasize tu, dume la ukweli halijifii ujinga hata siku moja
 
kwa hiyo ukiwa single ndo tiketi ya kuongozana na shemeji yako kutwa,huna shughuli zingine za kufanya au ndo wanakulisha wao.

hapo ndipo nilipokosea kuongozana nae,ila haikua kwa nia mbaya nilikua nasaidia tu
 
hapo ndipo nilipokosea kuongozana nae,ila haikua kwa nia mbaya nilikua nasaidia tu

unafaa sana kuwa msaidizi wake hata wa ndani maana ndiko ulikokuwa unaelekea,hebu kata mawasiliano na shemeji yako haraka iwezekanavyo ila namhurumia huyo rafiki yako kwa kupata mwanamke asiyejitambua na kuthamini utu wake.
 
Story yako ni ya uwongo. Wewe si ulikuja juzi hapa na thread yako kuwa kuna demu umemfukuzia kwa zaidi ya 2yrs anakuzingua na ukamua kumtema na nikakuponda kuwa wewe siyo anthropologist. Leo hii umekuja na story ya demu wa rafiki yako. Have y'r way. Acha kuchezea akili zetu.
 
Story yako ni ya uwongo. Wewe si ulikuja juzi hapa na thread yako kuwa kuna demu umemfukuzia kwa zaidi ya 2yrs anakuzingua na ukamua kumtema na nikakuponda kuwa wewe siyo anthropologist. Leo hii umekuja na story ya demu wa rafiki yako. Have y'r way. Acha kuchezea akili zetu.

mkuu sina njia kukuaminisha,huyu sio demu wangu ajali tu imetokea
 
shi zhende.buguo shi yige yiwai,wo yijing gaosu ta buguo ta hai lai yao wo jiba
 
Back
Top Bottom