chaUkucha
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 3,382
- 1,220
Ni sheedah
wafu FM wamewaharibu sana!
Ni sheedah
Baada ya kuzichanga kwa muda wa miezi mitatu hatimae nilifanikiwa kununua godolo langu la 6x6 chapa ya banko, kutokana na kuwa bize sana nilimtafuta mbeba kago nikamwelekeza nyumbani kisha nikaenda nae dukani na kumlipa muuza duka kiasi kilichosalia na kumuachia maagizo muuzaji akiwa tayari atampatia huyo mbeba kago mi nawahi mzigoni. Nafika nyumbani kama majira ya saa 2 nakuta hola nawauliza majirani hakuna mtu yoyote aliekuja hapo nyumbani. Nilimsalamba mpaka nikampata tukaenda polisi katika mahojiano akadai nitakuwa nimemfananisha tu kwani nae amenunua kama hilo hilo na jina na saini vinaonyesha ni lake nikamwendea mwenye duka akatoe maelezo ya kuthibisha kuwa lile godolo ni langu akagoma kunipa ushirikiano, sijui walikula njama pamoja.
Polisi wamesema hilo suala liko nje ya uwezo wao na hawawezi kumshurutisha mtu atoe wakati risiti inaonyesha huyo jamaa ndie mmiliki halali wa hilo godolo na hata wakiipeleka mahakamani uwezo wa kushinda haupo.
So inaniuma sana kudhulumiwa mali yangu huku naona na sijui nifanyeje? Japo nataka nijaribu kwa waganga wa jadi ingawaje sina uzoefu nao. Kwa hapa Dar nasikia wengi matapeli ila s/wanga inawezekana nikipiga mahesabu ya nauli, malazi na chakula ndo nachoka kabisa japo ni haki yangu. Mimi si islamic albadil inaweza saidia?
Wenye uzoefu na hayo makitu jamani naomba msaada wenu tafadhari
Hii kzai ndogo.
Kama ni muunini na unataka kuwasaidia wenzio basi fanya hivi.
Kwanza Jua kama huo mchezo hautakuwa umeanzia kwako,inawezekana ni issue ya muda kwa wateja wao.
Nenda Kapige picha ya Duka hilo uilete humu.
Ili uwe umesaidia wengi,lakini kulalamika tu itakuwa haisaidii kitu na inaweza kuwa ni story Fake.
Tunasubiria Picha ya Duka husika
majukumu ndugu yangu, ila nimeamin wabeba mizigo wengi ni wezi hiyo kazi ni kuzugia tu
Kwani we upo wapi nikusaidie mjukuu wangu mi ndo babu kutoka sumbawanga
Nichec inbox natibu mali iliyo potea ,mapenzi,nauza majini pamoja na vifaru ,siasa nguvu za kiume na n.k