Nimetapeliwa na mbeba mizigo

Nimetapeliwa na mbeba mizigo

Hapa watu wametumia fursa,,haiwezekanibunampaje mtu hela ya godoro bila risit? Unamlipa na mbebaji usiyemjua? Hawa watu wawili waliokuchezea huu mchezo inaonekana huna mazoea nao na bado ukawaamini,,hili ni tatizo kwa watz wengi,,,unless wangekuwa ni watu wako wa siku nyingi unaowaamini ndiyo ungefanya kama ulivyofanya...lakini vinginevyo hao jamaa wametumia fursa ya wewe kuwa -----...!
 
Kutapeliwa hapa mjini ni kitu cha kawaida. Wasamehe wote na Mungu atakupa hela utanunua godoro lingine. Uslipe ubaya kwa ubaya kwani ni machukizo kwa Bwana.
 
kisumapai na Sumbawanga wapi na wapi. Huyu ni mtu wa Songea, usitapeli wewe.
 
Last edited by a moderator:
mungu atakulipa mkuu usiofuu godolo tu lisikunyime usingzi bwanah,jichange upya tu usiofu
 
Mkeka unakuhusu mpaka utakapofanikiwa kuzichanga upya....
 
Baada ya kuzichanga kwa muda wa miezi mitatu hatimae nilifanikiwa kununua godolo langu la 6x6 chapa ya banko, kutokana na kuwa bize sana nilimtafuta mbeba kago nikamwelekeza nyumbani kisha nikaenda nae dukani na kumlipa muuza duka kiasi kilichosalia na kumuachia maagizo muuzaji akiwa tayari atampatia huyo mbeba kago mi nawahi mzigoni. Nafika nyumbani kama majira ya saa 2 nakuta hola nawauliza majirani hakuna mtu yoyote aliekuja hapo nyumbani. Nilimsalamba mpaka nikampata tukaenda polisi katika mahojiano akadai nitakuwa nimemfananisha tu kwani nae amenunua kama hilo hilo na jina na saini vinaonyesha ni lake nikamwendea mwenye duka akatoe maelezo ya kuthibisha kuwa lile godolo ni langu akagoma kunipa ushirikiano, sijui walikula njama pamoja.
Polisi wamesema hilo suala liko nje ya uwezo wao na hawawezi kumshurutisha mtu atoe wakati risiti inaonyesha huyo jamaa ndie mmiliki halali wa hilo godolo na hata wakiipeleka mahakamani uwezo wa kushinda haupo.

So inaniuma sana kudhulumiwa mali yangu huku naona na sijui nifanyeje? Japo nataka nijaribu kwa waganga wa jadi ingawaje sina uzoefu nao. Kwa hapa Dar nasikia wengi matapeli ila s/wanga inawezekana nikipiga mahesabu ya nauli, malazi na chakula ndo nachoka kabisa japo ni haki yangu. Mimi si islamic albadil inaweza saidia?
Wenye uzoefu na hayo makitu jamani naomba msaada wenu tafadhari
acheni uzembe utatoaje pesa bila kuchukua risiti, story za kuhonga michepuko msilete huku, pesa utoe mwenyewe halafu ulalamike.
 
acheni uzembe utatoaje pesa bila kuchukua risiti, story za kuhonga michepuko msilete huku, pesa utoe mwenyewe halafu ulalamike.

unaonekana bandidu sana weye na unaweza andikishiana na hata mkeo
 
We ni mzembe kama wazembe wengine ningekuwa nakufahamu ningekutia zinga la bao tena mbata unamwaminije mtu kwenye hela unaacha mpaka risiti
 
Mjini maboya hawaishi....

Next time ukilipia mali chukua risiti na always sindikizana na kibega.

Btw... unaponunua godoro lingine kamata Tanfoam hutajutia ununuzi wako
 
Back
Top Bottom