Nimetapeliwa mwenzenu!

Nimetapeliwa mwenzenu!

giphy.gif
Unataka ushahidi gani zaidi,no izo hapo,muamala huo hapo,au nikutumie picha alizonitumia na kusema ni zake?
Screenshot_20221114-010552.jpg
 
Asee leo baada ya kutapeliwa kizembe nimeamini yale maneno ya taikoni la fasihi, usimwamini mwanamke wala kumwonea huruma!

Kuna demu humu kapost anataka mume mie nkampandia hewani, tukaekana sawa, tatizo likaja kwenye kuonana, demu akadai hana pesa nkamtigo pesa alufu 50 chap na yakutolea.

Cha ajabu hapokei simu tena wala kujibu msg! We mdada ulonilaghai kwa maneno matamu kua unaniletea mbususu na umenizulumu pesa yangu namwachia Mungu atanilipia! Hapa nilipo moyo unanienda kasi sana na tumachozi twa mbali.

Kuanzia leo sitasubutu kutumia mtoto wa mtu nauli! Hapa nilipo najilaumu sana ni bora ningeingia hapo juliana nkapiga kitimoto na serengeti light baridiiiii...

Ushahidi wote nnao,mpaka picha zake!
Safari hii kavamia mtumbwi wa vibwengo!

View attachment 2415945
Mungu akulipe upuuzi wako?
 
Wewe utakuwa ulifaidi, hadi hujuti mkuuitakuwa ulimfaidi mtanga. Watu humu mnainjoy sana...
Na nikampiga marufuku kuendelea kuwepo humu maana kuna mafisi... nina zawadi nae katulia tuli anafuata masharti mtanga wangu.
 
Asee leo baada ya kutapeliwa kizembe nimeamini yale maneno ya taikoni la fasihi, usimwamini mwanamke wala kumwonea huruma!

Kuna demu humu kapost anataka mume mie nkampandia hewani, tukaekana sawa, tatizo likaja kwenye kuonana, demu akadai hana pesa nkamtigo pesa alufu 50 chap na yakutolea.

Cha ajabu hapokei simu tena wala kujibu msg! We mdada ulonilaghai kwa maneno matamu kua unaniletea mbususu na umenizulumu pesa yangu namwachia Mungu atanilipia! Hapa nilipo moyo unanienda kasi sana na tumachozi twa mbali.

Kuanzia leo sitasubutu kutumia mtoto wa mtu nauli! Hapa nilipo najilaumu sana ni bora ningeingia hapo juliana nkapiga kitimoto na serengeti light baridiiiii...

Ushahidi wote nnao,mpaka picha zake!
Safari hii kavamia mtumbwi wa vibwengo!

View attachment 2415945

Mungu hawezi kukulipia kiboya hivyo, we hesabu hasara na songa mbele
 
Mungu akulipie kwenye maswala ya uzinzi? Labda Mungu wa Goliath
 
Back
Top Bottom