iphone 18 promax
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,142
Mtaje watu wamjue
We' ni bwege laana mkubwa,hela ya mjinga uliwa na mjanja. Mothr fvc..kerAsee leo baada ya kutapeliwa kizembe nimeamini yale maneno ya taikoni la fasihi,usimwamini mwanamke wala kumwonea huruma! Kuna dem humu kapost anataka mume mie nkampandia hewani,tukaekana sawa,tatizo likaja kwenye kuonana,dem akadai hana pesa nkamtigo pesa alufu 50 chap na yakutolea..chaajab hapikei sim wala kujib msg! We mdada ulonilaghai kwa maneno matamu kua unaniletea mbususu na umenizulumu pesa yangu namwachia Mungu atanilipia! Hapa nilipo moyo unanienda kasi sana na tumachoz twa mbali.
Kuanzia leo sitasubutu kutumia mtoto wa mtu nauli! Hapa nilipo najilaumu sana ni bora ningeingia hapo juliana nkapiga kitimoto na serengeti light baridiiiii...
Swain!!
Huyu si shemeji....ni shemegiKaribu mjini shemeji
Kweli kaka nyege ni mbaya sana asee ila Siku ingine jitahidi akili zishinde hisia kaka Bila ivo wadau watakuliza sana ComradeNi kama aliniloga kwa sauti yake nyororo
Kuna vitu vya kulaumiana lkn sio swala hili mkuu,
Nyeg nazo zimechangia!
KINGINE DEM ANAJUA KUPANGILIA MANENO MATAMU WACHA KABISA,NADHANI HILI LITAKUA LIPOROFESHINO.
Tumuiete tu shem ake make ni mgeni wa kummaaaHuyu si shemeji....ni shemegi
Tena na mimi natokea malamba mawili, 50000 inatosha kabisa usafiri na kunywa maji njianiunataka lawama ww






Naunga mkojo hojaWatu waliuponda ule uzi, "usimwonee huruma kabisa mwanamke.." ila mimi nauheshimu na umebadilisha sana life langu ndani ya muda mfupi.
Mwanamke hana shukrani wala hakumbuki fadhila za mtu akipata mfadhili mwingine.
Hizi akili hizi sijui mna shida gani!!!! AMEKUAMBIA ANAHITAJI MUME; Very straightforward halafu wewe unawaza kumchezea.....Asee leo baada ya kutapeliwa kizembe nimeamini yale maneno ya taikoni la fasihi,usimwamini mwanamke wala kumwonea huruma! Kuna dem humu kapost anataka mume mie nkampandia hewani,tukaekana sawa,tatizo likaja kwenye kuonana,dem akadai hana pesa nkamtigo pesa alufu 50 chap na yakutolea..chaajab hapikei sim wala kujib msg! We mdada ulonilaghai kwa maneno matamu kua unaniletea mbususu na umenizulumu pesa yangu namwachia Mungu atanilipia! Hapa nilipo moyo unanienda kasi sana na tumachoz twa mbali.
Kuanzia leo sitasubutu kutumia mtoto wa mtu nauli! Hapa nilipo najilaumu sana ni bora ningeingia hapo juliana nkapiga kitimoto na serengeti light baridiiiii...
Swain!!