Nimetapeliwa mwenzenu!

Nimetapeliwa mwenzenu!

Hahahahaah yule alikua kimkakati sana mkuu. Kila uzi unaohusu mapenzi unamkuta anatia huruma.

Lazima ni dume lile na nahisi lishawapiga wengi sema wewe ndo umetoka kifua mbele kuelezea maswahibu.
Itakua kwel,mana lijamaa linasound kali sana..kama mpopopma lazima likunyooshe.
 
Unamuachia Mungu huo upumbavu wako?? Wazaz wako umewatumia chochote Ili wakubariki?
Kapesa kote nilimtumia mwali wao
Hata leo sijakula kitu napiga miayo tu hapa mkuu.
 
Always mapenzi ya mtandaoni yaaendeshwa kwa uongo hadi mtakapo meet ndio

mtaaza ambiana ukweli na kuombana msamaha kwa mauongo yaliotokea huko nyuma.

Always ukiniambia uko Tanga namimi ujue naishi Tanga hapo hapo,ukiniambia ila kwasasa nimesafiri nimekuja MWANZA, namimi ntakujibu Nmesafiri nipo kigoma.

Hamna mahali tutakuta maongezi yakutumiana nauli,

Yani Ulipo NIPO.
 
Sema jamaa una hela za kuchezeaa sanaa.. 50K kizembeee tu unaliwaaa
Mkuu siobkosa langu,hata ingekua ww ungetuma
Mtoto anasauti kama kinanda,hio shepu sasa!
Tuzidi kuombeana tu!
Tena nkamwongezea na ya maji njiani mwali asipate shida na jua hili la daslade.
 
Walaaa usilie sana humu kuna kula kitu! lete majina yake kamili! na la mama yake ndo zuri!!...uone tutakacho mfanyia atakutafuta mwenyewe na akija ufanye kweli mpaka atambalie ukuta!
 
Always mapenzi ya mtandaoni yaaendeshwa kwa uongo hadi mtakapo meet ndio

mtaaza ambiana ukweli na kuombana msamaha kwa mauongo yaliotokea huko nyuma.

Always ukiniambia uko Tanga namimi ujue naishi Tanga hapo hapo,ukiniambia ila kwasasa nimesafiri nimekuja MWANZA, namimi ntakujibu Nmesafiri nipo kigoma.

Hamna mahali tutakuta maongezi yakutumiana nauli,

Yani Ulipo NIPO.
Wewe ni mzoefu
 
Usijali mkuu ni kama umebeti tu nenda jukwaa la kubeti huko ni kulia tu watu wanapoteza pesa nyingi, mhindi anasema wanaoweka depost ni wengi, ila sasa wanaotoa ni wachache
 
Kivipi na ashatoa mkuu,nieleze vzur
Unawapigia huduma Kwa wateja, kuwa ulifanya muamala Kwa kukosea zikaenda Kwa mtu mwingine.So wao wanamtafuta kumwambia arudishe pesa ,sababu yeye akuwa mlengwa wa hizo pesa.
 
Kaka ni true story usinilaumu mana unanionea bure,mtoto alivokua analalamika kwenye sim hata laki ungetuma! Mtoto anasauti kama kinanda

giphy.gif
 
Back
Top Bottom