jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 5,344
- 7,101
Duka gani ilo?Kwanza acha akuzulumu tuu umempa hela ya mtaji kabisa hiyo ngoja akafungue duka
Duka gani ilo?Kwanza acha akuzulumu tuu umempa hela ya mtaji kabisa hiyo ngoja akafungue duka
Nipasie hlo zigo nikalibutue man 😁Yule nlishapiga chini! Hili goma jipya mkuu
Hiyo pesa umelitumia dume mwenzio huenda yuko manzese anakusoma hapa anacheekaAsee leo nimeamini yale maneno ya taikoni wa fasihi,usimwamini mwanamke wala kumwonea huruma! Kuna dem humu kapost anataka mume mie nkampandia hewani,tukaekana sawa,tatizo likaja kwenye kuonana,dem akadai hana pesa nkamtigo pesa alufu 50 chap na yakutolea..chaajab hapikei sim wala kujib msg! We mdada ulonilaghai kwa maneno matamu kua unaniletea mbususu na umenizulumu pesa yangu namwachia Mungu atanilipia! Hapa nilipo moyo unanienda kasi sana na tumachoz twa mbali.
Kuanzia leo sitasubutu kutumia mtoto wa mtu nauli! Hapa nilipo najilaumu sana ni bora ningeingia hapo juliana nkapiga kitimoto na serengeti light baridiiiii...
Swain!!
Shida ya hapa jamvini unaweza kukuta unababeibisha dume lenzioKuna Siku niliwah andika
Usmtreat mwanamke kama Malaika.
Wangekua Malaika, Wasingekesha kutoa mimba, dhambi ya uuaji !!
Paula Paula PaulaLol, Someone call an ambulance. This poor soul had a massive stroke.




Unataka ukamuungishe?Duka gani ilo?
💯🤝Usmtreat mwanamke kama Malaika.