Hamza lile lilikuwa jeshi LA MTU mmoja,hakuna kuleakisha taarifa ,afu yule atakuwa ni wale wasomali halisi originated in somalia,my point is walishtukizwa. usualy kwa maadui wengine wanakuwa wameshajipanga.
Hata mbishe za majambazi wanakuwa na taarifa wameshajipanga.
Na kama wangekuwa wameshajipanga, hamnza asingetoboa hatua kumi.
Wote mkumbo mmoja.ninaowaheshimu ni jwtz pekee hao wengine mjomba kanituma
hujaandika logic yoyote hapo zaidi ya kusifia mtu. angetoa taarifa kuwa atauwa polis matokeo yangekuwa tofautiHamza lile lilikuwa jeshi LA MTU mmoja,hakuna kuleakisha taarifa ,afu yule atakuwa ni wale wasomali halisi originated in somalia,
Acha hao wasomali Wa Djibouti hawana roho ngumu kama warrior ya Mogadishu.
hiyo state unakuwa tu wkt wa vita au wkt wa kwenda kufanya operesheni. huwa wanakuwa alerted kabisaUnapokuwa polisi au mwanajeshi unatakiwa uwe umejiandaa 24/7.
unajuaje mm ni raia? au umecomnent tu kujifurahisha?mnajuaje nyinyi raia!!!mambo ya kambini huko ni siri yao.
hiyo state unakuwa tu wkt wa vita au wkt wa kwenda kufanya operesheni. huwa wanakuwa alerted kabisa
ndio maana wajesh hawatembei na silaha hovyo au grenades na flares barabaran kisa wako tyr muda wote nope..
polis the same.. ndio maana huwa habebi silaha muda wote.
kuwa ready 24/7 hakukuepushi na ambush. ambush haina taarifa so hutokea
,Sema man sema .Ukisikia polisi wameua jambazi wakati wanarushiana risasi.
Shika kichwa, fumba macho,hapo kilichotokea,ni kwamba hao majambazi walikamatwa, wakapperekwa sehemu wakawa executed in cold blood,hiyo ndio "modus operandi"ya polisi yetu.uongo uongo mtupu
Ukisema not all the time that means huwa inatokea si ndio!?not all the time
Kila sehemu kuna watu walioiva vizuri na mananga pia wapo, nimewahi kushuhudia askari wa JWTZ anababaika kufungua SMG mpaka anapewa msaada. Wakati wa kupiga shabaha ndo utafurahi.ninaowaheshimu ni jwtz pekee hao wengine mjomba kanituma
unajuaje mm ni raia? au umecomnent tu kujifurahisha?
hiyo kitu sio siri kwa waliopitia jkt tunawajua..it happens nilikuwa na watoto wa vigogo na ndugu ..wapo.
Pointless kabisaLaana za waPemba hizo zinawaandama polisi,polisi ambao nyakati za uchaguzi wao ndio wanaohesabu,wao ndio wanalinda kura,wao ndio wanaokimbia na masanduku ya kura wakiondoka nayo kwenye vituo,hili tukio limewafariji wapemba vibaya sana.