Zingzingzing
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 655
- 604
mimi kama mwanafunzi wa chuo kikuu nimetafakari ni bora ni kawa na mpenz hata wa kufarijiana na kupeana mawazo mawili matatu lakini nawaza sana juu ya mambo yafuatayo ,,1]kuombwa pesa,2]kupeana stress ,hasa kama kozi moja 3]out zisizo na msingi, nachoka kuwaona wasichana wengi lakini similiki hata mmoja daaa let me try,,,.