Ndio ujifunze kula tunda kwa soksi... mpaka uoe kihalali..Mkuu lakini me nahisi itakuwa mtego juu yangu maana hawa mabinti wa kileo wajanja sana
True mkuu,,huyu binti nahisi ananidanganya tena sana,,roho yangu haikuwa na amani kabisa baada ya kumbana sana baada ya siku mbili mbele ananambia hana mimba eti alikuwa ananipima ,,duh nikabaki natahamaki tu vipi huyu binti?Yan nami nltaka kmuambia hvyo hvyo...kama Moyo wake unasita...hiyo mimba sio yake...!!mimba huhusika pia kiroho...!!mtoto ana connection na wazazi wake...!!
Mwanamke anatafuta pa kutokea
Mkuu nakuelewa sana ,,inabidi kuwa care sana kama usemavyo nikweli kabisa inabidi uchunguzi kwanza,,lakini kwa vile yashatokea sawa ninejifunza tokana na makosaSo hii hakuwaza wakati unamla kavu. Ni vipi kama huko alipotoka hapakuwa na usalama kiafya yaani alibeba magonjwa?!
Ukikutana na binti mpya kama una malengo ya kufanya nae maisha ya ndoa then take your time kumjua vema. Date nae. Kuna mengi ya kuyajua kwa mwanamke before haujamfanya kuwa mkeo.
Sasa wewe umekaa nae siku chache tayari ushamchovya. Yanatokea majanga ndio akili inaanza kuwa makini.....
Dah madogo wa siku hizi lakini.
Sawa mkuu utanitumia hata picha dm mkuu ya mzunguko huoHiyo mimba ni yako mzee alipata tarehe 24..natamani hata nikutumie pcha ya app ninayoitumia ku-calculate maana mm n mwanandoa na ndio naitumia kupanga uzazi. Hofu ondoa kabisa hiyo ni damu yako lea.
Hakili ishachekecha imetosha,,haijapata jibu maana ndo nimekuja jua sahz kumbe ni uongo mtupuHahahahaha unafanya mchezo na kitobo nini??? Mtu akiwa anataka kuloweka hata aambiwe nini anaweza kujikuta Anafanya
Ila akili huwa zinaturudia baadae. Sasa hili la kwamba mpk saivi anaamini Coca cola baridi ilizuia mimba ndo la kushangaa kwamba akili haijarudi tu?
Duuuh!! Mkuu mambo ya wanawake ni kesi tupu!!!
Lea mwanaoMkuu nishafanya kosa nimejifunza nawala sitorudia kwa mtu mwingine
Unoko na mzabzab wapi na wapi jamani mbona wee mrembo wataka kunipaka matopeMdau mbona mnoknok sana na mzabzab