cold water
Senior Member
- Oct 6, 2021
- 175
- 618
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, tarehe zangu za kupata hedhi ni kama ifuatavyo: 19/3/2023, 19/4/2023, 21/5/2023, 20/6/2023 lakini huu mwezi wa saba nilikutana na baba watoto tarehe 4/7/2023 na tarehe 5/7/2023
Nimejaribu kupima kipimo kinaonesha negative ila nikitumia tochi kumulika kipimo kuna mstari unajichora kwa mbali, lakini natumia nguvu nyingi kuuangalia. Sasa sielewi, nina mimba au sina?
Nimejaribu kupima kipimo kinaonesha negative ila nikitumia tochi kumulika kipimo kuna mstari unajichora kwa mbali, lakini natumia nguvu nyingi kuuangalia. Sasa sielewi, nina mimba au sina?