BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 910
- 2,165
Yan nami nltaka kmuambia hvyo hvyo...kama Moyo wake unasita...hiyo mimba sio yake...!!mimba huhusika pia kiroho...!!mtoto ana connection na wazazi wake...!!Hapo umepigwa mzee! Maana danger zone kwa mujibu wa science ilitakiwa iwe tarehe 15-20 ya mwezi wa 4 ndio yai linaweza kuchavushwa!
Nyie mmekuja kupigana spana tarehe 24 huko ina maana its aidha demu mwenyewe ajielewi mzunguko wake vizuri au aliuza mechi kabla hajakuletea mbunye! Ila kwa hizo tarehe alizosema ilitakiwa awe ame exit danger zone kwa sababu hata ukipiga siku 7 za yai kuwa tayari ilitakiwa baada ya tarehe 22 muambulie bila bila!
Af Sayansi za mwituni za kutumia coca wakat p2 zipo ni upumbavu! Ungenunua P2 ni buku 5 tu yeye mwenyewe atakuwa anazijua ila kakuona ndezi akupe msala!
Mwanamke anatafuta pa kutokea